Naweza kufanya graphics kwa kutumia mobile apps, je naweza kupata kazi?

Naweza kufanya graphics kwa kutumia mobile apps, je naweza kupata kazi?

Stevenbee

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2016
Posts
365
Reaction score
449
Huwa nafanya Graphics lakini natumia simu na nishafanya na watu baadhi hususani wanaotengeneza products kama mafuta,unga lishe, album cover na vingine. Lakini kitu ambacho huwa nashindwa niombe Ajira vipi? Kwasababu

1) Sijasomea hii issue
2) Natumia mobile apps kufanya Hizo graphics Kama Pixellab, PicsArt , Snapseed

Je, naweza pata kazi kweli?

Huwa naona sipo competent ingawa kupitHizhizo mobile apps nafanya graphics kama Hizhizo za kwenye computer ingawa haiwezi kuwa 100%
 
Principles ni zile zile tu, tofauti ni arrangements za tools.

Break a leg.
 
Back
Top Bottom