Sasa Kama umeweza hivi si ujiajiri tuu mkuu ongezea app nyingine uweongeze wigo zaidiHiyo hapo wakuu
View attachment 2086116
simu zimekua hatari Sana siku hizi yaaniAsante mkuu, mtu akiona untumia simu anakuwa hana imani π ndio shida ilipo
hizo zote unazo tumia ni mioto ya kuotea mbali sema zipo nyingi sanaAsante mkuu, mtu akiona untumia simu anakuwa hana imani π ndio shida ilipo
Yeah teknolojia inakua Sana,aseesimu zimekua hatari Sana siku hizi yaani
Yeah mi huwa natumia sana hizo tatu nilichagua Hizo ili nizifahamu vizur zaidi kwenye utumiaj wakehizo zote unazo tumia ni mioto ya kuotea mbali sema zipo nyingi sana
Uko vizuri nakushauri hamia kwenye pc utakuwa vzuri mara 3. Halafu mockups siku zote uwa zinapendezaHiyo hapo wakuu
View attachment 2086116