Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu naomba kujuzwa kwani siku hizi nimejenga tabia ya kuamka
alfajiri na kukimbia kilomita 10 mpaka 20 na leo ni siku ya nne. Je iwapo
nimetoka kwenye tendo la ndoa muda huo naweza kuendelea na mazoezi
na nisiathirike kwa chochote. AHSANTENI.