Allelujah JF-Expert Member Joined Mar 9, 2017 Posts 452 Reaction score 414 May 4, 2017 #21 ZoeI la nini wakati kufanya Mapenzi ni ZOEZI TOSHA....
kalagabaho JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 5,457 Reaction score 5,893 May 4, 2017 #22 GAZETI said: Wakuu naomba kujuzwa kwani siku hizi nimejenga tabia ya kuamka alfajiri na kukimbia kilomita 10 mpaka 20 na leo ni siku ya nne. Je iwapo nimetoka kwenye tendo la ndoa muda huo naweza kuendelea na mazoezi na nisiathirike kwa chochote. AHSANTENI. Click to expand... Itakuathiri...mwili unahitaji kupumzika baada ya tendo..pumzika kwanza then labda jioni au kesho yake ndo ukafanye mazoezi
GAZETI said: Wakuu naomba kujuzwa kwani siku hizi nimejenga tabia ya kuamka alfajiri na kukimbia kilomita 10 mpaka 20 na leo ni siku ya nne. Je iwapo nimetoka kwenye tendo la ndoa muda huo naweza kuendelea na mazoezi na nisiathirike kwa chochote. AHSANTENI. Click to expand... Itakuathiri...mwili unahitaji kupumzika baada ya tendo..pumzika kwanza then labda jioni au kesho yake ndo ukafanye mazoezi
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 May 5, 2017 #23 inategemea mkuu