Naweza kuhamia chuo cha Serikali maana chuo ninachosoma sasa kina ada kubwa sana!

Naweza kuhamia chuo cha Serikali maana chuo ninachosoma sasa kina ada kubwa sana!

Kupata 1 ya 7 bado haiakisi upelekwe vipaji? Inategemea kwenye masomo ya sayansi ulibutua vipi, na km ulipelekwa PCB, ikiwa unataka PCM si kuna kubadilisha comb hapo hapo shule?

1 ya 6 advance, MD kwa Muhimbili unaweza kosa, ila ungejaribu KCMC na Bugando mbna ungepata.

Nweii nenda kwenye mamalaka husika utapata muongozo saamaa
Kupata 1 ya 7 bado haiakisi upelekwe vipaji? Inategemea kwenye masomo ya sayansi ulibutua vipi, na km ulipelekwa PCB, ikiwa unataka PCM si kuna kubadilisha comb hapo hapo shule?

1 ya 6 advance, MD kwa Muhimbili unaweza kosa, ila ungejaribu KCMC na Bugando mbna ungepata.

Nweii nenda kwenye mamalaka husika utapata muongozo sahihi.
Inawezekan vip mtu apat point saba na asifaul vzr masom ya science huy alipasw kubadil comb alipofik advance lkn kam ameshafik mpk hapo inatakiwa apat support zaid kwa hiy Ada na maish ya chuo ataumiz San wazaz afany afoj ata death certificate
 
Back
Top Bottom