Sina hakika kama kuna madhara maana hii kitu nimeiona sehemu nyingi sana tu. Kwenye nyumba yangu architecture pia alidesign kibaraza cha matofali ya kulaza ila mimi sikupenda nikaweka nguzo. So, hakuna shida ila kuna maximum span baina ya nguzo na nguzo, kama span ni kubwa na panabeba weight kubwa itabidi uweke nguzo katikati au uweke tu cha zege na nondo kwa kuzingatia weight