vyumba vinne means one bed room, sebule moja, jiko na stoo moja na choo kimoja. ila vyote vinakuwa ndani
chumba kimoja cha msingi wa kozi tatu ni matofari 300 * 4 = 1200
au kozi tano ni matofari 500 * 4= 2000
maximum tofari 3000/50 = 60 mifuko ya cement. * 14000= 840,000
mafundi matofali + mchanga + machine+ kumwagilia= 900,000
fundi kujenga mpaka linta + kupiga linta na kuinua kozi za juu= 2,000,000
fundi kuezeka 600,000
mbao treated ( inategemea na design) maximum= 1,000,000
bati 28 geji 120 * 160,000= 2,300,000
dirisha moja 240000 * 10 = 2,400,000
milango 7 * 150,000= 1,050,000
kupiga ripu fundi + cement + mchanga = 800,000( ndani) + 800,000 ( nje)
gypsum = 60 * 14,000= 840,000
fundi gypsum + rangi= 600,000
tyles nyumba yote = 1,500,000
fundi tiles= 500,000
wiring vifaa= 1,500,000
fundi wiringi = 600000
pigeni jumla ni ngapi haya ni mahesabu ya juu sana