Nyumva hata mil 2 unaweza ukaanza kujenga mkuu usitishwe na majitu mengine hayaja wahi kujenga ni kuogooesha watu tu
Unaweza kuidesign upendavo maana mil 15 msingi, boma na kupaua nyumba ya vyumba 3 na master inawezekana then ukahamia ukamalizia ukiwa ndani