S sabufa Member Joined Apr 21, 2013 Posts 26 Reaction score 4 Jun 7, 2013 #1 wakuu naomba kunijuza tafadhali.Nina matokeo ya GPA 2.6666667 katika matokeo yangu ya diploma ya ualimu.Je,ninaweza kuyatumia kuomba nafasi ya masomo shahada ya kwanza kupitia TCU?
wakuu naomba kunijuza tafadhali.Nina matokeo ya GPA 2.6666667 katika matokeo yangu ya diploma ya ualimu.Je,ninaweza kuyatumia kuomba nafasi ya masomo shahada ya kwanza kupitia TCU?
M Mipale Steve JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 384 Reaction score 43 Jun 7, 2013 #2 Jaribu.
Super Sub Steve JF-Expert Member Joined Jul 9, 2011 Posts 17,404 Reaction score 10,900 Jun 7, 2013 #3 jaribu japo wanataka credit na hiyo yako ni pass.Jaribu bahati yako ila jaribu kuchagua vyuo ambavyo havina competition kubwa.
jaribu japo wanataka credit na hiyo yako ni pass.Jaribu bahati yako ila jaribu kuchagua vyuo ambavyo havina competition kubwa.
Betri yenye chaji JF-Expert Member Joined Dec 27, 2012 Posts 743 Reaction score 642 Jun 9, 2013 #4 Kwenye kitabu cha tcu kuanzia 2.7