Naweza kukopa mkopo wa kuanzisha biashara na nyumba yangu kuwa dhamana?

Naweza kukopa mkopo wa kuanzisha biashara na nyumba yangu kuwa dhamana?

Hawawezi kukupa, lazima uwe na biashara kwanza, na hata kama una biashara bank wanazingua sana

Bongo mizinguo mingi sana, yaani wanakuvuta kwa maneno matamu... Wanakuambia wiki tu mkopo tayari... Ila ukianza process sasa utajuta...na lazima uwe na hela ya maana maana process tu zinatumia pesa..... Uandaliwe business projection, ulete valuator afanye evaluation ya nyumba yako... Uhonge maafisa mikopo n.k


Nadhani dhamana ya kazi ndo njia rahisi ya kupata mkopo kupitia bank
 
Unaweza kopa mkopo kwa kuanzisha biashara lkn hii huwezi ambiwa maana biashara ikifa . Unatakiwa uwe na biashara na iwe na ziad mi mwaka, uwe na leseni ya biashara na tin, kila taasisi ya mkopo ina taratibu zake lkn sikushauli ukope . Kama unayo biashara na mtaji wako milion 10 ukitaka mkopo usikusumbue kopa milion 7 kushuka chini, kopa kwa kuendeleza biashara sio lengo lingine
 
Kwa kawaida mkopo,kwa ajiri ya biashara ni lzm Basi biashara iwe na mda kidogo,maana katika vigezo ni experience ya hiyo biashara km unayo maana utaulizwa,mauzo yako,faida yako ikoje,na km watakupa mkopo kwasababu tu una dhamana ya nyumba kimbia ndugu hutakomboa nyumba yako
 
Sikushauri kukopa Ili kuanzisha biashara, kopa Ili uendeleze biashara....ushauri Kama huu ulikuwa unatolewa humu nikawa sielewi, Ila nilivyoingia Kwa ground ndiyo nilielewa maana yake....narudia, USITHUBUTU unless unataka kuwauzia benki hiyo nyumba.
 
Hawawezi kukupa, lazima uwe na biashara kwanza, na hata kama una biashara bank wanazingua sana

Bongo mizinguo mingi sana, yaani wanakuvuta kwa maneno matamu... Wanakuambia wiki tu mkopo tayari... Ila ukianza process sasa utajuta...na lazima uwe na hela ya maana maana process tu zinatumia pesa..... Uandaliwe business projection, ulete valuator afanye evaluation ya nyumba yako... Uhonge maafisa mikopo n.k


Nadhani dhamana ya kazi ndo njia rahisi ya kupata mkopo kupitia bank
Nashukuru kwa maelezo yako Boss. Ubarikiwe
 
Sikushauri kukopa Ili kuanzisha biashara, kopa Ili uendeleze biashara....ushauri Kama huu ulikuwa unatolewa humu nikawa sielewi, Ila nilivyoingia Kwa ground ndiyo nilielewa maana yake....narudia, USITHUBUTU unless unataka kuwauzia benki hiyo nyumba.
Asantee sana kwa ushauri wako mtaalam. Ubarikiwe!
 
Asantee sana kwa ushauri wako mtaalam. Ubarikiwe!
Shida inaanzia kwenye investment cost like gharama za location, usafiri, miundombinu ya biashara n.k, hizi gharama huwa hazirudi mapema....hapo bado hujatengeneza wateja, kumbuka mwanzo biashara ni ngumu...wakati huo Una rejesho la benki.
Unaweza kujikuta unakopa milioni kumi, ila pesa utayoiingiza direct kwenye mzunguko wa biashara ni milioni 5, nusu nyingine imeliwa na investment cost...unadhani utatoboa? Hata ukitoboa utatoboa Kwa tabu sana.

Sikushauri kuacha wazo la biashara, Ila tafuta pesa sehemu nyingine, iwe kujibana, vikoba, au kupangisha hiyo nyumba huku wewe ukijibana sehemu ya gharama nafuu Ili upate mtaji wa kuanzia....ukishaelewa upepo wa biashara nenda benki.
 
Shida inaanzia kwenye investment cost like gharama za location, usafiri, miundombinu ya biashara n.k, hizi gharama huwa hazirudi mapema....hapo bado hujatengeneza wateja, kumbuka mwanzo biashara ni ngumu...wakati huo Una rejesho la benki.
Unaweza kujikuta unakopa milioni kumi, ila pesa utayoiingiza direct kwenye mzunguko wa biashara ni milioni 5, nusu nyingine imeliwa na investment cost...unadhani utatoboa? Hata ukitoboa utatoboa Kwa tabu sana.

Sikushauri kuacha wazo la biashara, Ila tafuta pesa sehemu nyingine, iwe kujibana, vikoba, au kupangisha hiyo nyumba huku wewe ukijibana sehemu ya gharama nafuu Ili upate mtaji wa kuanzia....ukishaelewa upepo wa biashara nenda benki.
Nitaufanyia kazi ushauri wako! Asantee sanaa
 
Hawawezi kukupa, lazima uwe na biashara kwanza, na hata kama una biashara bank wanazingua sana

Bongo mizinguo mingi sana, yaani wanakuvuta kwa maneno matamu... Wanakuambia wiki tu mkopo tayari... Ila ukianza process sasa utajuta...na lazima uwe na hela ya maana maana process tu zinatumia pesa..... Uandaliwe business projection, ulete valuator afanye evaluation ya nyumba yako... Uhonge maafisa mikopo n.k


Nadhani dhamana ya kazi ndo njia rahisi ya kupata mkopo kupitia bank
Umepotosha mkuu.

Ukiwa na dhamana (collateral) ndio rahisi sana kukopa benki. Jukumu la benki ni kukupa pesa tu, sio kukupangia matumizi. Watakachozingatia wao ni marejesho yao tu.

Yeye aende benki aseme ana nyumba anataka kukopa. Watampa taratibu za kibenki ikiwemo kufanya evaluation ili kuithaminisha gharama ya soko ya nyumba yenyewe, na benki itatathimini anastahili kupewa kiasi gani.
 
Umepotosha mkuu.

Ukiwa na dhamana (collateral) ndio rahisi sana kukopa benki. Jukumu la benki ni kukupa pesa tu, sio kukupangia matumizi. Watakachozingatia wao ni marejesho yao tu.

Yeye aende benki aseme ana nyumba anataka kukopa. Watampa taratibu za kibenki ikiwemo kufanya evaluation ili kuithaminisha gharama ya soko ya nyumba yenyewe, na benki itatathimini anastahili kupewa kiasi gani.
Nalichukua pia wazo lako mkuu, shukrani!!
 
Umepotosha mkuu.

Ukiwa na dhamana (collateral) ndio rahisi sana kukopa benki. Jukumu la benki ni kukupa pesa tu, sio kukupangia matumizi. Watakachozingatia wao ni marejesho yao tu.

Yeye aende benki aseme ana nyumba anataka kukopa. Watampa taratibu za kibenki ikiwemo kufanya evaluation ili kuithaminisha gharama ya soko ya nyumba yenyewe, na benki itatathimini anastahili kupewa kiasi gani.
Naongea kupitia experience, bank Gani wanaweza kukupa pesa kwa dhamana ya nyumba bila kua na biashara??? Kuna bank wanatoa mkopo kwa dhamana ya nyumba bila kuwaandikia business plans zako na projection yake??

Nishachukua mikopo sio mara mbili Wala tatu, Kuna muda muache kua wabishi...

Hakuna bank wanapenda kuuza nyumba yako ukishindwa, ndo maana Wanataka kujua pesa unafanyia nini, sio kuchukua mkopo uende kidimbwi au kitambaa cheupe...
 
Bhana mwacheni,kashawaelewa" sauti ya wengi ni ya Mungu"
 
Hawawezi kukupa, lazima uwe na biashara kwanza, na hata kama una biashara bank wanazingua sana

Bongo mizinguo mingi sana, yaani wanakuvuta kwa maneno matamu... Wanakuambia wiki tu mkopo tayari... Ila ukianza process sasa utajuta...na lazima uwe na hela ya maana maana process tu zinatumia pesa..... Uandaliwe business projection, ulete valuator afanye evaluation ya nyumba yako... Uhonge maafisa mikopo n.k


Nadhani dhamana ya kazi ndo njia rahisi ya kupata mkopo kupitia bank
Hupo sahihi. NMB wako fasta sana kutoa mkopo KAMA mkopaji amekidhi vigezo, ambavyo ni:
1. Mkopaji awe na biashara.
2. TIN
3. Tax Clearance Certificate
4. Business Licence.
5.Security(nyumba,kiwanja nk).
 
Habari za majukumu wadau! Naomba kujuzwa, je naweza kwenda benki nikakopa mkopo kwaajili ya kuanzisha biashara lakini nikatumia nyumba yangu kama dhamana? Naomba kufahamishwa ktk hili..
Usiende bank kukopa kwa nia ya kuanzisha biashara hawatakupa huo mkopo
Bank zinatoa mikopo ya kuendeleza biashara
 
Mara nyingi kinachokopeshwa ni Biashara nyumba or kiwanja , gari hutumika kuweka mkazo Eli Uwezi kulipa deni. Unapeweka Dhamana unaonyesha kuwa upo tayari kufanya hiyo biashara na Dhamana inatakiwa iwe na thamani ya 125% or zaidi ya mkopo . Market price ya Dhamana.
May be utengeneze business plan uonyeshe hiyo biashara yako itakywaje, hapo inatakiwa cash sale projection, market research, competitive analysis, product design and utauzaje na mbinu zipi utatumia kupenya kwenye soko


Habari za majukumu wadau! Naomba kujuzwa, je naweza kwenda benki nikakopa mkopo kwaajili ya kuanzisha biashara lakini nikatumia nyumba yangu kama dhamana? Naomba kufah
 
Back
Top Bottom