Sasa mkuu unafkri watafanyaje na malipo ya landlord ni robo?Mkuu kama ukitaka kukopa nenda benki uitakayo wewe ukaulizie achana na porojo za hapa ndani.
Wengi wanataja riba 17% au 21% WAONGO SANA. Iko hivi unapokopa riba inaenda hadi 75% kutegemea tu na muda utakaoutumia kulilipa hilo deni.
Mkuu kukopa ni KUNYONYWA tena kwa kiwango cha kukamliwa ukitaka kukopa kubali kuzitajirisha taasisi za kifedha.
Watumishi sijui hawajui hesabu au kukubali kila kitu uambiwacho yaani ukope milioni 6 na ulipe milioni 10 kwa miezi 60 halafu useme riba ni 21%[emoji85] [emoji87]
Mhmhhhh bank gani hiyo ukipe 60months time frame ya marejesho labda isnt a commercial bank...unapata 12,000,000 for 60months huku ribA ni 17%
600000*0.66= 3960000*60= 23,760000/=chukua salary yako toa makato yote kisha salio zidisha mara 0.66 baada ya hapo zidisha mara miezi ya mkopo unaotaka kuchukua utakuwa umepata jibu sahihi la figure unayoweza kukopa. assuming riba ni chini ya 22%.
ndio ila hiyo inakuwa ndio kiwango cha juu so utarajie kwenda chini ya hapo kidogo.Figure inayokuja ndio pesa unayoweza kukopa?
rejesho around 396,000600000*0.66= 3960000*60= 23,760000/=
Hapo kila mwezi rejesho itakuwa sh.ngapi kwa miezi hiyo 60
Hii formula ya 60% unayoipigia mshahara nlinatumika na bank zote ama,hebu fafanua mtaalamuchukua salary yako toa makato yote kisha salio zidisha mara 0.66 baada ya hapo zidisha mara miezi ya mkopo unaotaka kuchukua utakuwa umepata jibu sahihi la figure unayoweza kukopa. assuming riba ni chini ya 22%.
60% of ur salary... Ukipata unapiga kwa kipindi mkopo unakua matured unapata marejesho je hapo hapo na riba imo...hebu liweke sawa hilochukua salary yako toa makato yote kisha salio zidisha mara 0.66 baada ya hapo zidisha mara miezi ya mkopo unaotaka kuchukua utakuwa umepata jibu sahihi la figure unayoweza kukopa. assuming riba ni chini ya 22%.
rejesho around 396,000
Hujanijibu maswali yangurejesho around 396,000
Wana balaa...hahhahhahaha....na sio hiyo Bank tu, Bank zote ndo hivyo hivyo...Hahhahatangia nichukue 15m crdb na kutakiwa kurudisha 24m sina ham na mikopo, hilo pepo linipite kutali kabisa.
Vipi ulilimaliza hilo deni? Ahhhatangia nichukue 15m crdb na kutakiwa kurudisha 24m sina ham na mikopo, hilo pepo linipite kutali kabisa.
Una deni ujue, naona umejisahaulishaVipi ulilimaliza hilo deni? Ahhha
Hahahahahhaha...Nakumbuka Meeyah.Una deni ujue, naona umejisahaulisha
Mwambie ukweli.unapata 12,000,000 for 60months huku ribA ni 17%
tangia nichukue 15m crdb na kutakiwa kurudisha 24m sina ham na mikopo, hilo pepo linipite kutali kabisa.
Mmm staki tenaHahahahahhaha...Nakumbuka Meeyah.
Soon.
Wakuda washajitokeza sasakama ni beginner kopa Bayport ujifunze
Mvumilivu hula mbivu.Mmm staki tena