Naweza kukopa shilingi ngapi benki kwa mshahara wa laki 6?

Naweza kukopa shilingi ngapi benki kwa mshahara wa laki 6?

Benki nyingi riba ni 21%mpaka 18 ambapo ndio nafuu hiyo sasa piga hesabu unataka chukua sh ngapi ,marejesho halisi +riba utapata total ya makato kisha chukua hiyo 6 toa makato kitakacho baki jiulize
Utaweza kutoboa nacho ushauri bora ubaki 300000
 
chukua salary yako toa makato yote kisha salio zidisha mara 0.66 baada ya hapo zidisha mara miezi ya mkopo unaotaka kuchukua utakuwa umepata jibu sahihi la figure unayoweza kukopa. assuming riba ni chini ya 22%.
 
Benki nyingi riba ni 21%mpaka 18 ambapo ndio nafuu hiyo sasa piga hesabu unataka chukua sh ngapi ,marejesho halisi +riba utapata total ya makato kisha chukua hiyo 6 toa makato kitakacho baki jiulize
Utaweza kutoboa nacho ushauri bora ubaki 300000
Kwa viipi mkuu, wengi tunafuatilia hiii thread
 
chukua salary yako toa makato yote kisha salio zidisha mara 0.66 baada ya hapo zidisha mara miezi ya mkopo unaotaka kuchukua utakuwa umepata jibu sahihi la figure unayoweza kukopa. assuming riba ni chini ya 22%.
Figure inayokuja ndio pesa unayoweza kukopa?
 
Wakuu Kwa mshahara wa laki 6 take home naweza kukopa mpaka sh.ngapi na marejesho yanakuwaje
makato maximum ni 1/3 ya mshahar wako in which case ni 200000 kutegemea na mkataba wako unaweza pewa 36 month time 200000 ni kama 7200000 so unaweza pata milion 7 kwa miaka minne
 
Wakuu Kwa mshahara wa laki 6 take home naweza kukopa mpaka sh.ngapi na marejesho yanakuwaje
Inategemeana na Miaka ya kukaa kwa mkopo. Na pia inategemeana na mahali ulipokopa (Bank etc).

Kama ukikopa nMMB (Ukataka Ulipe kwa Miaka 6) bhasi unaingiziwa sh Mili 13 kwa Akaunti yako, Marejesho utarudisha jumla ya around Milion 21.

Ukikopa kwa Miaka 5 (utapewa M 12 kwa akaunti yako) na utarudisha total ya around M 18.

MIAKA 4, Milion 10.
Miaka 3 Milion 8
Miaka 2 milioni 6
Mwaka mmoja milion 4.
 
unapata 12,000,000 for 60months huku ribA ni 17%
Akichukua hiyo M 12.


Akija kulipaa jumla, atakuwa amelipa M 18.

Mimi sio mtaalamu wa masuala ya hizo asilimia, ila sijui kwanini wameandika 17% riba.

Wakati marejesho ni faida yao ni karibia sawa na nusu ya ulichokopa.
 
Mkuu kama ukitaka kukopa nenda benki uitakayo wewe ukaulizie achana na porojo za hapa ndani.

Wengi wanataja riba 17% au 21% WAONGO SANA. Iko hivi unapokopa riba inaenda hadi 75% kutegemea tu na muda utakaoutumia kulilipa hilo deni.

Mkuu kukopa ni KUNYONYWA tena kwa kiwango cha kukamliwa ukitaka kukopa kubali kuzitajirisha taasisi za kifedha.

Watumishi sijui hawajui hesabu au kukubali kila kitu uambiwacho yaani ukope milioni 6 na ulipe milioni 10 kwa miezi 60 halafu useme riba ni 21%[emoji85] [emoji87]
 
Back
Top Bottom