NAWEZA KUMSHTAKI DED [mkurugenzi] KWA HILI?

NAWEZA KUMSHTAKI DED [mkurugenzi] KWA HILI?

KATUMBACHAKO

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2012
Posts
399
Reaction score
108
Habari wana Jf! Mimi ni mtumishi wa serikali ambaye nimeajiriwa miaka 3 iliyopita! Toka mwaka jana/oktoba, faili langu ktk ofisi za DED (MKURUGENZI) halionekana! Nimerudia mara 3 lakini nazungushwa tu! Sijafanya kosa lolote la kikazi/kimaadili! Naombeni msaada wenu maana mm nawaza kumshtaki DED.NB: Kwenye faili kulikuwa na nyaraka mbalimbali zikiwemo za madai mbalimbali ( naidai serikali)
 
Tunawasubiri wataalam wa sheria, naamini tutapata somo hapa.
 
Habari wana Jf! Mimi ni mtumishi wa serikali ambaye nimeajiriwa miaka 3 iliyopita! Toka mwaka jana/oktoba, faili langu ktk ofisi za DED (MKURUGENZI) halionekana! Nimerudia mara 3 lakini nazungushwa tu! Sijafanya kosa lolote la kikazi/kimaadili! Naombeni msaada wenu maana mm nawaza kumshtaki DED.NB: Kwenye faili kulikuwa na nyaraka mbalimbali zikiwemo za madai mbalimbali ( naidai serikali)


Cause of action ni ipi hapa? Unataka kumshitaki kwa kosa lipi?
 
Back
Top Bottom