Naweza kupangiwa nini

Naweza kupangiwa nini

Mamndenyi

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
43,242
Reaction score
60,939
Salaam wana bodi,
kuna binti yangu amepata matokeo yafuatayo,
Naomba ushauri je anaweza kupangiwa kwenda wapi.


[TD="width: 6%"] S3933/0003
[/TD]
[TD="width: 4%"] F
[/TD]
[TD="width: 6%"] 27
[/TD]
[TD="width: 4%"] IV
[/TD]
[TD="width: 58%"] CIV-D HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-D PHY-D CHEM-D BIO-D B/MATH-D


[/TD]
 
Sina hakika kama Vyuo vya Ualimu wanapangwa moja kwa moja.Lakini,anauwezekano mkubwa wa kupata Ualimu Grade IIIA.Hatahivyo,aweza kurudia baadhi ya masomo na kutafuta credits 2 ili asonge Kidato cha tano na cha sita
 
Salaam wana bodi,
kuna binti yangu amepata matokeo yafuatayo,
Naomba ushauri je anaweza kupangiwa kwenda wapi.

S3933/0003

[TD="width: 4%"] F [/TD]
[TD="width: 6%"] 27 [/TD]
[TD="width: 4%"] IV [/TD]
[TD="width: 58%"] CIV-D HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-D PHY-D CHEM-D BIO-D B/MATH-D

[/TD]

labda ualimu. Lakini anaweza kuamua kusoma A level huku akisaidiwa kurudia mitihani baadhi ili apate credit 3 za kumwezesha afanye NECTA f.6. Itende sec. school, mbeya jijini tuna programu hiyo kwa ada nafuu, sh 300,000 kwa mwaka, kama atakaa bweni ataongeza laki 5 kwa mwaka. Michepuo HGE, HGK, HGL NA HKL. Kama utapenda wasiliana nami kwa maelezo zaidi. 0754734009
 
Mamndenyi kama anaweza aende advance huku akitafuta credit hapo arts itakuwa nzuri zaidi au apply afya tangazo lipo jukwaa hili
 
Last edited by a moderator:
salaam wana bodi,
kuna binti yangu amepata matokeo yafuatayo,
naomba ushauri je anaweza kupangiwa kwenda wapi.

s3933/0003

[td="width: 4%"] f [/td]
[td="width: 6%"] 27 [/td]
[td="width: 4%"] iv [/td]
[td="width: 58%"] civ-d hist-d geo-d kisw-c engl-d phy-d chem-d bio-d b/math-d

[/td]

anaweza kwenda teaching- ualimu, veta, kilimo, mifugo,forestry, nursing au udaktari ngazi ya cheti
 
Petro E. Mselewa
Asante sana mkuu.

Sina hakika kama Vyuo vya Ualimu wanapangwa moja kwa moja.Lakini,anauwezekano mkubwa wa kupata Ualimu Grade IIIA.Hatahivyo,aweza kurudia baadhi ya masomo na kutafuta credits 2 ili asonge Kidato cha tano na cha sita
 
Last edited by a moderator:
IPILIMO
Asante sana kwa ushauri.

labda ualimu. Lakini anaweza kuamua kusoma A level huku akisaidiwa kurudia mitihani baadhi ili apate credit 3 za kumwezesha afanye NECTA f.6. Itende sec. school, mbeya jijini tuna programu hiyo kwa ada nafuu, sh 300,000 kwa mwaka, kama atakaa bweni ataongeza laki 5 kwa mwaka. Michepuo HGE, HGK, HGL NA HKL. Kama utapenda wasiliana nami kwa maelezo zaidi. 0754734009
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom