enoswilliam
Member
- Apr 12, 2014
- 39
- 0
Habaari zenu wana jf nilihitimu kidato cha nne 2012 na kupata daraja la nne ya pointi 27 ambapo mwaka 2013 nilituma maombi ya ualimu lakini sikuchaguliwa mwaka huu pia nilituma lakini mambo ni mabaya kwan wenye dv4 hawaja chaguliwa...Je kwa muda huu naweza kupata chuo gani hata kama ni cha private..? msaada wenu tafadhali.