Naweza kupata engineer kwa matokeo aya. D ya physc. D ya math na E ya chem

Kwa DDE ya mwaka huu ni sawa na EEF ya miaka ya nyuma,sasa kupatata chuo kwa matokeo hayo ni bahati nasibu


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Niombe chuo gan na faculty gan Kw matokeo ao

speaking of truth engineering from ardhi hupati, coet hupati, dit(diploma fine ,degree am not sure) ,must (diploma fine, degree may be) . kwa matokeo hayo hasa ukiangalia na ufaulu wa mwaka huu kutoka dv 1 -403 mwaka jana to dv 1 - 4405 mwaka huu.


vyuo vingine sijui
 
Aende st joseph huyu pale wanabeba tu muhimu uwe na principal mbili
 
MWAKA 2013: A = 80 – 100; B = 75 - 79;
C = 65 – 74; D = 55 – 64; E= 45 – 54; S =
40 – 44 na F =0 – 39.
Hivyo vilikuwa viwango vya ufaulu 2013
linganisha na vya sasa.
Edit Reply Report Post
 

Wew umechukua jumla ya wanafunz wote kumbuka mm ni pcm so idad io ya 1 aiwez kufka bt Thnx
 
uelewa wako ni mdogo kuhusu hili st. joseph hawana mamlaka ya kudahili mwanafunzi....lazima apitie tcu

Mdogo wewe maana hao tcu hata kama wanadahili wao hawawezi kumpeleka COET so st joseph wao ndio wanaopokea hizo points
 
najisikia vizuri kupotosha watu eti? :embarrassed:
 
Nnimeitim 2014

Kwa viwango vya mwaka huu hiyo DDE= EEF. So hii inaleta cut off points = 1+1+0=2. Points 2 ni ndogo sana kupenya competition kwenye udahili ( hasa kwa mwaka huu). Hivyo basi, usife moyo ndugu, kwa uelewa wangu mdogo nashauri piga kwanza dipl ikiwezekana then degree badae
 
Mdogo wewe maana hao tcu hata kama wanadahili wao hawawezi kumpeleka COET so st joseph wao ndio wanaopokea hizo points

Inaonesha hujawahi kutumia mfumo wa TCU..ukiapply kama hunavigezo sysyem inakutema na St. Joseph mfano mwaka jana mdogo wngu aliapply pale nakumbuka cutpoint ilikua 3.5pts.
 
Inaonesha hujawahi kutumia mfumo wa TCU..ukiapply kama hunavigezo sysyem inakutema na St. Joseph mfano mwaka jana mdogo wngu aliapply pale nakumbuka cutpoint ilikua 3.5pts.

We una mashetani si bure,st joseph utemwe 3.5 basi dunia itakua ya mwisho,huo mfumo nimetumia na st joseph ilikua E mbili tu za science unabebwa so saiv DD mbili wankuchukua,uachwe 3.5 st joseph?thubutuu
 

Pia mkumbuke kwa hawa wa mwaka huu principle inaanzia D na sio E kama wa mwaka jana kurudi nyuma, huwezi kusoma degree kwa hayo matokeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…