naweza kupata haki gan baada ya kuachishwa kazi?

naweza kupata haki gan baada ya kuachishwa kazi?

Raelish

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2013
Posts
489
Reaction score
162
polen na kaz za kujenga taifa waungwana,..nimepewa barua ya kuachishwa kazi tarehe 1 agost ikinitak kuacha kaz tar.2 agost,na nimekaa kazin miez 6..sababu za kuachishwa kazi hazijasababishwa namim,.ninachojua natakiw kupewa mshahara wa mwez 1 lakn mwajiri anakataa,je ni haki?? na je ni haki gan zingine nastahili kupewa?? kwa yeyot anayjua sheria kuhs hl anisaidie..natanguliza shukuran.!!
 
Fafanua vizuri ulipewa mkataba wa muda gani??na sababu hasa ya kusimamishwa kazi ni nini?? Toa maelezo usaidiwe mkuu
 
Wakuu,pia mimi nina tatizo kama hilo!
Nina diploma in procurement,2/1/2013 nmepata kazi ya kufanya stock pamoja na kaz nyngine ktk duka 1 kubwa,ila hatukuingia mkataba wowote,nmemaliza ila kuna hesabu za kumalizia,tar 10/8/2013 bos kasema amenipa likzo ya 1 wik.
Likizo haina maelezo na mshahara wa August sijapewa,niko nyumban bado 1 wik haijaisha nahis anataka niache kazi,
je km ameniachisha kaz nichukue hatua gan?,
msaada tafadhali,
 
Mkataba wako ulikuwa unasemaje? Mind u mkataba kuisha sio kufukuzwa kazi hivyo utaondoka kwa amani sanasana utadai hela zako za ppf ukiwa umemaliza probation mwajiri anahaki ya kutokukuajiri kwa kisingizio cha kutokuridhika na utendaji wako kisheria yuko on the safe side...ukiuliza swali kuwa specific ili usaidiwe
 
Kama ulimaliza probation unatakiwa ulipwe mshahara wa mwezi mzima na ulipwe miezi mi 3 yani siku 6 za ziliko...basi

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom