Bishara mchomvu
Member
- Apr 3, 2013
- 53
- 0
Jamani jamani,
Kuna mdogo wangu alimaliza kidato cha nne mwaka jana af eti hana uhakika na namba yake, yani namba yake ya mtihani ameisahau.
Msaada jamani kama kuna uwezekano wa kuyaona matokeo kwa majina.
Mimi nimetafuta sioni.
Kuna mdogo wangu alimaliza kidato cha nne mwaka jana af eti hana uhakika na namba yake, yani namba yake ya mtihani ameisahau.
Msaada jamani kama kuna uwezekano wa kuyaona matokeo kwa majina.
Mimi nimetafuta sioni.