Bishara mchomvu
Member
- Apr 3, 2013
- 53
- 0
Jamani jamani,, kuna mdogo wangu alimaliza kidato cha nne mwaka jana af eti hana uhakika na namba yake;; yan namba yake ya mtihani ameisahau. Msaada jaman kama kuna uwezekano wa kuyaona matokeo kwa majina. Mimi nimetafuta sioni.
Mmmhhhh!!!
Mmmhhhh!!!