Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itawezekana kama wewe na ao wachina mmekubaliana kuuziana vitu na pesa ya hapo kati yenu nyinyi wawili benk ndio itausika (bank ina act as third part kufacilitate iyo harakati). Lakini io haitoshi labda biashara yako ingekua ya muda kidogo ili wawe na transactions history ndo wajue. Unless hapo ni uweke kitu rehani hivihivi utoboi.Naomba kufahamu kama kuna uwezekano wa benki kuwezesha biashara ambayo ndiyo inaanza kwa namna ya wao kama benki kutumia mkataba wa nakubaliana ya kibiashara kati ya kampuni yangu na ya China kwenye biashara ya pembejeo?
Asante sanaInawezekana, kwa makubaliano kati ya kampuni yako na bank baada ya bank kujiridhisha upande wa 'risk'
Nimekupata mkuuItawezekana kama wewe na ao wachina mmekubaliana kuuziana vitu na pesa ya hapo kati yenu nyinyi wawili benk ndio itausika (bank ina act as third part kufacilitate iyo harakati). Lakini io haitoshi labda biashara yako ingekua ya muda kidogo ili wawe na transactions history ndo wajue. Unless hapo ni uweke kitu rehani hivihivi utoboi.
Dah umeandika kwa hisia sana. So far nimekuelewa vema Sana. Tuendelee kupambana hii ndo tanzania yetuKwa benki zetu hizi hapa Tanzania Hilo usahau kabisa na usiliweke kichwan Yan hata usiwaze wala usijisumbue kwenda Kama wewe unajijua unakitambulisho Cha NIDA na kura yaan Kama wewe n mtanzania sahau Hilo Ila utapata endapo utatafuta either mchina, mzungu au hata mkenya anaenda kuzuga kuwa yeye n mwekezaji na tayari soko analo Ila mtaji hana hapo chap anapewa.
Kunashida kubwa sana kwa taasisi zetu za kifedha na wasimamizi wake Yan huna nyumba hzo 50m na kuendelea za kulipa utaziskia kwa wengine.
Benk na BOT na wizara za Biashara na uwekezaji wajiangalie jinsi ya kufika Taifa la maendeleo kwakuja na kuamini mpango kazi au mkataba wa Biashara ili kukuza pesa ya ndani{Uchumi}
Kiukweli tupambane tuu aisee kupata pesa za serikali au ikudhamini n ngumu Sana Ila akija mgeni anaenda bank na kalamu na karatasi anawaonyesha + vingereza vingi anachukua billions kadhaa anasamehewa na Kodi kwa miaka 3 alafu kumbe mtu mwenyewe baada ya kuchukua pesa anapeleka kwao after 6months ashatomea na habari inabaki kwa serikali na bank yaan hii nchi hii Basi tuuDah umeandika kwa hisia sana. So far nimekuelewa vema Sana. Tuendelee kupambana hii ndo tanzania yetu