Mkuu unajua kazi ya security kwenye mkopo? If you you are not able to pay kwa mfano naweza kuuza hivyo vyeti kwa mtu nikarudisha hela yangu? Sifa kubwa mbiki za security ni iwe na monetary value which can be determined easily na iwe convertible into cash to liquidate the loan at any time.
Zifuaatazo zinaweza kuwa security: nyumba, kiwanja, gari, shares, fedha, stock/bidhaa, madeni unayodai, mashine mbali mbali, mikataba n.k. hata hivyo kinachofanya uhalali wa security sio kwa mkopaji kupewa hivyo vitu bali ni kuwa na document zinazoonesha uwepo wa vitu hivyo, umiliki na ni lazima visajiriwe kisheria kuweka zuio na kumpa haki aliekukopesha kuviuza ama kuvitumia pindi utakapo shindwa kurejesha mkopo