Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu kwa ushauri wako! Nitauzingatia vizuri ngoja nipate mawazo ya wadau wengine!unapata mkuu.. ila ushauri tu nunua kwa unaemwamini..
na gari usiangalie namba angalia ubora... kuna namba d ni mkangafu na kuna namba a ni nzuri kabisa
Hujawa tayari kuwa na gariJaribu kuheshimu mawazo ya watu. Ulitaka niandike bei unayoitaka wewe?
hahahahh duuh, watu mna majibu makavuHela mbuzi, masharti kibao. Eti namba D
Hahaha. Me nadhani atapata C ila kwa uhakika angecheck Starlet.Hela mbuzi, masharti kibao. Eti namba D
Aina gani? Bei inashawishiKwenye Uzi wa wauzaji magari ungepata jibu sahihi zaidi
Ongeza 2 ml itakusaidia kupata gari nzuri zaidi na yenye maisha marefu ya kuwa barabarani
Kamata vits mkuu ushindane na kina dadaAina gani? Bei inashawishi
Mzee naona hujanielewa,sikuwa na maana ya mashindano ya magari,nilimaanisha ukikamata vits madereva wenzio watakuwa kina dadaHa ha ha ha ha ha mkuu unadhani ni mashindano basi? Niliplan nichukue kwa mizunguko!
Unapata kaka ila itakuwa imechoka ni kweli......!Wadau wa jf kwema? Naweza pata gari aina ya toyota passo yenye namba D kwa bei ya tsh milion 4? Yenye cc900? Naomba kupokea ushauri na mawazo kutoka kwenu ni mgeni kwenye maswala ya magari
hahahh daah mbona minaendesha vits aisee sio mdada ila JF ukiwa serious sana utamkufuru Mungu aiseeMzee naona hujanielewa,sikuwa na maana ya mashindano ya magari,nilimaanisha ukikamata vits madereva wenzio watakuwa kina dada
Wewe mwenye hela ng'ombe muongezee basi ili anunue namba D...wabongo bwana...heshimu pesa ya mtu hujui kaipatajeHela mbuzi, masharti kibao. Eti namba D
Jf weng wana magari ya bei kaliWewe mwenye hela ng'ombe muongezee basi ili anunue namba D...wabongo bwana...heshimu pesa ya mtu hujui kaipataje
Kila mtu anajua kila kituJf weng wana magari ya bei kali
kila mtu ana mansion
kila mtu ana kazi nzuri kasoro mimi
kila mtu mwaminifu.
kila mtu ametendwa.
Hio ndio jf
Aanze kuheshimu kwanza magari ya watu humu huwez kuwa na hela ya kuunga-unga hivyo utake Gari # DWewe mwenye hela ng'ombe muongezee basi ili anunue namba D...wabongo bwana...heshimu pesa ya mtu hujui kaipataje
Kweli mkuu Baby Walker (passo, vitz,starlet&Ist) nyingi ni za wavaa madera. Samahani lakiniMzee naona hujanielewa,sikuwa na maana ya mashindano ya magari,nilimaanisha ukikamata vits madereva wenzio watakuwa kina dada