Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Namba D si kitu. kuna magari namba B yapo vizuri kuliko hayo D..gari ni utunzajiAanze kuheshimu kwanza magari ya watu humu huwez kuwa na hela ya kuunga-unga hivyo utake Gari # D
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba D si kitu. kuna magari namba B yapo vizuri kuliko hayo D..gari ni utunzajiAanze kuheshimu kwanza magari ya watu humu huwez kuwa na hela ya kuunga-unga hivyo utake Gari # D
Sure. Niliwahi kununua gari # C 2.1m....nilienda kubadilisha timing belt tuNamba D si kitu. kuna magari namba B yapo vizuri kuliko hayo D..gari ni utunzaji
Kila mtu ana degreeKila mtu anajua kila kitu
Kila mtu ana bilioni kwenye akaunti
Kila mtu maisha safi
Isipokuwa Mimi na wewe tu.
Na mimi niwekeni kwenye listKila mtu anajua kila kitu
Kila mtu ana bilioni kwenye akaunti
Kila mtu maisha safi
Isipokuwa Mimi na wewe tu.
Lakini ina sifa za kuitwa motor car?Kweli mkuu Baby Walker (passo, vitz,starlet&Ist) nyingi ni za wavaa madera. Samahani lakini
kila mtu jf anafahamiana na mabosi wakubwa wakubwa isupokuwa mimi na nyie tuKila mtu anajua kila kitu
Kila mtu ana bilioni kwenye akaunti
Kila mtu maisha safi
Isipokuwa Mimi na wewe tu.
Starlet wanaendesha wanaume mkuu usiikandie tafadhaliKweli mkuu Baby Walker (passo, vitz,starlet&Ist) nyingi ni za wavaa madera. Samahani lakini
tena ukiipimp inakuwa nzuri sanaStarlet wanaendesha wanaume mkuu usiikandie tafadhali
Ha ha ha ha haJaribu kuheshimu mawazo ya watu. Ulitaka niandike bei unayoitaka wewe?
Kasoro sisi tukila mtu jf anafahamiana na mabosi wakubwa wakubwa isupokuwa mimi na nyie tu