Naweza kupata toyota passo kwa tsh milion 4?

Passo umepata lakini nipo njombe mkuu ukwapi ww"
 
Check na huyo jamaa anauza magari faster 0714850287 au 0754321541
 
Kila mtu anajua kila kitu
Kila mtu ana bilioni kwenye akaunti
Kila mtu maisha safi

Isipokuwa Mimi na wewe tu.
kila mtu jf anafahamiana na mabosi wakubwa wakubwa isupokuwa mimi na nyie tu
 
Ni bora ukanunue bajaji au Toyo la miguu mitatu ukabebe matenga ya nyanya pale buguruni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…