Naweza kupata wapi matangazo ya mpira wa miguu ya mechi mbalimbali zilizopita yaliyo katika maandishi

Naweza kupata wapi matangazo ya mpira wa miguu ya mechi mbalimbali zilizopita yaliyo katika maandishi

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Habari wakuu wangu,
Naweza kupata wapi matangazo ya mpira wa miguu ya mechi mbalimbali zilizopita yaliyo katika maandishi.

Nahitaji mechi zifuatazo:
Mechi ziwe nne:

1. Azam FC 0-0 (5-6) Yanga SC _ Highlights _ CRDB Bank Federation Cup - 02-06-2

2. Mtibwa Sugar 1-3 Yanga SC _ Highlights _ NBC Premier League 13-05-2024

3. Azam FC 0-3 Simba SC _ Highlights _ NBC Premier League 09-05-2024

4. Simba SC 5-0 Mtibwa Sugar _ Highlights _ NBC Premier League 30-10-2022
 
Kwanini mkuu mbona habari zingine zinakuwepo boss.
labda sikuelewa swali lako ni kwamba unataka matangazo ya mechi nzima yawe kwenye maandishi ama?


Yani " Anachukua mpira pale Azizi Ki anatoa pasi kwa Mzize, Mzize anatoa pasi kwa Baleke anafunga goli, Yanga 7 Simba 0? " Vyote hivyo viwe kwenye maandishi?
 
labda sikuelewa swali lako ni kwamba unataka matangazo ya mechi nzima yawe kwenye maandishi ama?


Yani " Anachukua mpira pale Azizi Ki anatoa pasi kwa Mzize, Mzize anatoa pasi kwa Baleke anafunga goli, Yanga 7 Simba 0? " Vyote hivyo viwe kwenye maandishi?
Yes Exactly
 
Habari wakuu wangu,
Naweza kupata wapi matangazo ya mpira wa miguu ya mechi mbalimbali zilizopita yaliyo katika maandishi.

Nahitaji mechi zifuatazo:
Mechi ziwe nne:

1. Azam FC 0-0 (5-6) Yanga SC _ Highlights _ CRDB Bank Federation Cup - 02-06-2

2. Mtibwa Sugar 1-3 Yanga SC _ Highlights _ NBC Premier League 13-05-2024

3. Azam FC 0-3 Simba SC _ Highlights _ NBC Premier League 09-05-2024

4. Simba SC 5-0 Mtibwa Sugar _ Highlights _ NBC Premier League 30-10-2022
Fursa gani hii umeiona....... una vituko!
 
labda sikuelewa swali lako ni kwamba unataka matangazo ya mechi nzima yawe kwenye maandishi ama?


Yani " Anachukua mpira pale Azizi Ki anatoa pasi kwa Mzize, Mzize anatoa pasi kwa Baleke anafunga goli, Yanga 7 Simba 0? " Vyote hivyo viwe kwenye maandishi?
Mkuu kwenye huo mfano wako hiyo sehemu ya matokeo imenisikitisha sana.
 
Back
Top Bottom