Naweza kupata wapi ng'ombe aina ya Fleckvieh, ambayo ni the second largest dairy breed in the world?

Naweza kupata wapi ng'ombe aina ya Fleckvieh, ambayo ni the second largest dairy breed in the world?

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Wakuu kuna hawa Ng'ombe Aina ya Fleckvieh ambao ni Dual- purpose cow yaani wanafaa kwa ajili ya Maziwa na Nyama na wanatoa maziwa Mengi labda kuliko aina yoyote ile ya Ng'ombe.

Nilitaka kujua kama wanapatikana Bongo make hawa Ng'ombe ni kutoka katika highlands za upper Bavarian region nchini Germany na vilevile wanapatikana Switzerland na Austria,

Hawa Ng'ombe wana uwezo mkubwa kabisa wa utoaji maziwa,

UZAO WA KWANZA HUTOA LITA KATI YA 25-30 NA UZAO WA PILI NI KATI YA 30-35 HUKU UZAO WA TATU IKIFIKIA 35-40.
equinox-2011-e1315436985614.jpg




Paula.JPG
 
Wakuu kuna hawa go'ombe Aina ya Fleckvieh ambao ni Dual- purpose cow yaani wanafaa kwa ajili ya Maziwa na Nyama na wanatoa maziwa Mengi labda kuliko aina yoyote ile ya Ng'ombe.

Nilitaka kujua kama wanapatikana Bongo make hawa Ng'ombe ni kutoka katika highlands za upper Bavarian region nchini Germany na vilevile wanapatikana Switzerland na Austria,

Hawa Ng'ombe wana uwezo mkubwa kabisa wa utoaji maziwa,

UZAO WA KWANZA HUTOA LITA KATI YA 25-30 NA UZAO WA PILI NI KATI YA 30-35 HUKU UZAO WA TATU IKIFIKIA 35-40.
equinox-2011-e1315436985614.jpg




Paula.JPG

Nadhani kwa hapa Tanzania wapo sema hatujawa watu wa kufuatilia mambo muhimu kama haya,

Labda ndugu uliepost hii mada utuambie ni ng,ombe aina gani hutoa maziwa zaidi. kuliko hao
 
Nataka kuagiza kutoka Kenya so nilitaka kujua kama wako Bongo Make Kenya wanapatikana na wanawachukua South Africa na kuna Mbegu huchukuliwa Bavaria Ujeruman.

Hamna longo longo kuwaingiza nchini? maana nchi hii kila kitu ni haramu
 
Mapema Feb nilipandisha ng,ombe wangu kwa Mbegu ya kawaida baada ya kusubiria hii iliyoko juu kutoka kenya, Kampuni inataka iuze mbegu nyingi kwa wakati mmoja sio mmoja mmoja. Vile vile nilijaribu kuulizia huku tz kwa Maofisa wa Animal,s Hearlth zikupata, Kwa hio ni ngumu kupata kwa Mfugaji mmoja.
 
Mapema Feb nilipandisha ng,ombe wangu kwa Mbegu ya kawaida baada ya kusubiria hii iliyoko juu kutoka kenya, Kampuni inataka iuze mbegu nyingi kwa wakati mmoja sio mmoja mmoja. Vile vile nilijaribu kuulizia huku tz kwa Maofisa wa Animal,s Hearlth zikupata, Kwa hio ni ngumu kupata kwa Mfugaji mmoja.

Mkuu inawezekana kupatikana, hasa kama uko Mikoa ya Arusha au kilimanjaro au Tanga unaweza pata, kuna njia ya kupata
 
Mapema Feb nilipandisha ng,ombe wangu kwa Mbegu ya kawaida baada ya kusubiria hii iliyoko juu kutoka kenya, Kampuni inataka iuze mbegu nyingi kwa wakati mmoja sio mmoja mmoja. Vile vile nilijaribu kuulizia huku tz kwa Maofisa wa Animal,s Hearlth zikupata, Kwa hio ni ngumu kupata kwa Mfugaji mmoja.

nenda kijiji cha ifunda, iringa uliza tu kwa mzungu wa ngombe, anauza madume na mbegu(sperm anauza $3,000) pia na mara nyingi hupeleka ngombe wake huko kwenye maonyesho kenya na south africa.
 
Ukiwapata tuambiane,nataka mbegu, nipandishie wangu.
 
I once talkd to GE Genetics wanaohusika na mbegu Nairobi and they refered me to an agent.Hao wenyewe kukuhudumia ni lazima uwe karibu maeneo ya Nairobi ila wanatumia wakulima ambao wanakua certified.Cost ilikua from kshs 5000 to 11000 roughly tsh 100000 to 220000 depending on generation and sex ukitaka ngombe wako azae ndama wa kike au ndume.
Add in logistics to Tz na price could be double or triple.But a pure bull goes for $3000 to 4000.
 
Vipi ukichukua dume ukaja kupandisha kwa ng'ombe wa kawaida huwezi kupata ndamac hotara wa kutoa maziwa angalau lita20??
 
Hawa ng'ombe Kenya wamekuwa nao sana. Wanavumilia sana maisha magumu kama Joto, mvua na baridi. Na awasumbuliwi na magonjwa yatokanayo na kupe na mengineo
 
Back
Top Bottom