Naweza Kurudia Mtihani wa IV?

Naweza Kurudia Mtihani wa IV?

BROTHER OF BROTHERS

Senior Member
Joined
Jun 30, 2013
Posts
113
Reaction score
159
Mimi ni kijana Mtanzania Nimemaliza Elimu ya Kidato Cha nne mwaka 2008 ila sikuridhika na matokeo kwani nilipata Division IV, Sasa nimesoma Level za Cheti na Diploma lakini natamani Kurudia Mtihani huu. Naomba Ushauri Kwa yeyote anayejua procedures na nifanye kitu gani niweze kufuzu ukizingatia nimeshakaa mtaani Kwa miaka 14 Naomba kuwasilisha
 
Mimi ni kijana Mtanzania Nimemaliza Elimu ya Kidato Cha nne mwaka 2008 ila sikuridhika na matokeo kwani nilipata Division IV, Sasa nimesoma Level za Cheti na Diploma lakini natamani Kurudia Mtihani huu. Naomba Ushauri Kwa yeyote anayejua procedures na nifanye kitu gani niweze kufuzu ukizingatia nimeshakaa mtaani Kwa miaka 14 Naomba kuwasilisha
Aiseee! 14 years? Pole sana
 
Nishauri Best yangu hata Kwa Idea yako Boss.

Nisaidie Tactics bro serious nitarudia Ndugu yangu.
Angalia mda wako ( ratiba yako na majukumu ), yanakupa nafasi ( mda gani kuwa huru kujihusisha na kitabu ), angalia center nzuri ambayo huwa zinatoa watu wanapo rudia mitihani, center zingine huwa kama zina kimavi. Angalia rime, angaliw thw best center
 
Ulipata D ngapi?
Kifupi kama pass zinazidi nne na una diploma kwa nini usiendelee na shahada ya kwanza tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mimi ni kijana Mtanzania Nimemaliza Elimu ya Kidato Cha nne mwaka 2008 ila sikuridhika na matokeo kwani nilipata Division IV, Sasa nimesoma Level za Cheti na Diploma lakini natamani Kurudia Mtihani huu. Naomba Ushauri Kwa yeyote anayejua procedures na nifanye kitu gani niweze kufuzu ukizingatia nimeshakaa mtaani Kwa miaka 14 Naomba kuwasilisha
Bro kwa upole tu nakushauri huu uzi ungeutunza na kuuleta baada ya wiki hivi. Ni jana tu ajali ya ndege imetokea. Tuwatendeeni haki waliofiwa jamani
 
Hivi kama mtu alifanya NECTA akiwa ARTS anaweza kubadili akarisiti masomo ya SCIENCE???
 
Back
Top Bottom