Habari zenu ndugu,
Kwenye cheti changu cha kidato cha nne cha mwaka 2005 nina Agr C, chem C, bio D na engl C, math F, geo D, phy sikusoma.
Nalenga kusoma certificate ya kilimo au afya. je! yawezekana na niwapi nitaweza kusoma ?
(masomo ya sanaa sidhan kama yanahuska hapo)
ahsanteni.
Kwenye cheti changu cha kidato cha nne cha mwaka 2005 nina Agr C, chem C, bio D na engl C, math F, geo D, phy sikusoma.
Nalenga kusoma certificate ya kilimo au afya. je! yawezekana na niwapi nitaweza kusoma ?
(masomo ya sanaa sidhan kama yanahuska hapo)
ahsanteni.