Naweza kusoma China huku nafanya Biashara

Naweza kusoma China huku nafanya Biashara

the boss13

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
422
Reaction score
215
wadau naomba msaada kwa anaejua mwaka huu natarajia kwenda kusoma degree yangu ya pili( masters ) huko china nimeshaanza michakato ya kwenda huko je kwa mwenye ufaham.na china.opportunity gany naweza faidika nazo kwa.mimi kuwa kule na kiu sana ya mimi siku moja.kuwa mfanyabiashara mwenye mafanikio

kwa anaejua tafadhali naomba ushauri
 
kama una ndugu mwaminifu,ukiwa uchina unaweza ukawa umtumia mzigo hata kwenye ndege za mizigo na yeye anauza huku tz alafu anakutumia pesa unanunua tena mzigo unatuma.hivyo hivyo.
kuna jamaa nawajua hapa mwanza wana kaka yao amasoma china yaani wametajirika muda mfupi sana.
natamani ungekuwa ndugu yangu yaani utajiri huo hapo kabisa.
 
kama una ndugu mwaminifu,ukiwa uchina unaweza ukawa umtumia mzigo hata kwenye ndege za mizigo na yeye anauza huku tz alafu anakutumia pesa unanunua tena mzigo unatuma.hivyo hivyo.
kuna jamaa nawajua hapa mwanza wana kaka yao amasoma china yaani wametajirika muda mfupi sana.
natamani ungekuwa ndugu yangu yaani utajiri huo hapo kabisa.

shukrani mkuu kwa ushauri wako dat y na mm nkachagua china cos ov a lot ov opportunity available there
 
ANGALIZO: Ukiwa kule u concetrate sana na kitabu usije ukabase sana kwenye business ukajikuta unafeli shule mkuu!
wadau naomba msaada kwa anaejua mwaka huu natarajia kwenda kusoma degree yangu ya pili( masters ) huko china nimeshaanza michakato ya kwenda huko je kwa mwenye ufaham.na china.opportunity gany naweza faidika nazo kwa.mimi kuwa kule na kiu sana ya mimi siku moja.kuwa mfanyabiashara mwenye mafanikio

kwa anaejua tafadhali naomba ushauri
 
Nipm mkuu e-mail yako!inawezekana ukanisaidia na mimi. the boss13
 
Last edited by a moderator:
shukrani mkuu kwa ushauri wako dat y na mm nkachagua china cos ov a lot ov opportunity available there

amekuambia anatamani angekuwa ndugu yako,kwanini hujamuuliza labda ni ndugu yako
 
ANGALIZO: Ukiwa kule u concetrate sana na kitabu usije ukabase sana kwenye business ukajikuta unafeli shule mkuu!

Hili nalo neno,ukizingatia itabidi ajifunze kichina kwanza halafu ndio aingie class kusoma kilichompeleka.Wahenga walisema "mshika mawili............"
 
Back
Top Bottom