the boss13
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 422
- 215
wadau naomba msaada kwa anaejua mwaka huu natarajia kwenda kusoma degree yangu ya pili( masters ) huko china nimeshaanza michakato ya kwenda huko je kwa mwenye ufaham.na china.opportunity gany naweza faidika nazo kwa.mimi kuwa kule na kiu sana ya mimi siku moja.kuwa mfanyabiashara mwenye mafanikio
kwa anaejua tafadhali naomba ushauri
kwa anaejua tafadhali naomba ushauri