Naweza kusomea GRAPHICS DESIGN kama nimeishia la saba?

Unasoma bila shaka. Mi mbona nimesomea kupitia Youtube na sasahivi nina ajira kubwa kwenye Printing industry, nimeoa nikatengeneza na familia?! Kwanza hiyo kwenye kutafuta kazi hawaombagi hata vyeti maana wanajua unaweza kujitengenezea.
 
Pamoja na kuwa unawaza kusomea lakini kikubwa ni kipaji, ubunifu wako ndio unaokupa chance popote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…