kofia ya plastiki
JF-Expert Member
- Jun 9, 2019
- 416
- 405
Wakuu sawa na Kichwa cha habari hapo juu.. Changamoto ni mtaji wa kununua maligafi na kujua wapi naweza pata soko la bidhaa.. Naomba ushauri wakuu
Sawa sawa mkuu lakini bado hunanipa adviceUnawauzia wauza chips au madukani kwa ajili ya kubebea bidhaa
Nashukuru mkuuHata ukimuuliza Bakharesa atakwambia hana mtaji.
Anza na ulicho nacho hata kama ni elfu 10. Nunua malighafi tengeneza,kauze rudi tena dukani..nunua,tengeneza kauze,(Malighafi nunua duka moja tu)baada ya kufanya hivyo mara angalau kumi utapata mambo matatu;
1.Utajenga uteja na muuzaji wa malighafi ambae sasa anaweza kukukopesha malighafi nyingi zaidi..
2.Utakua umejua kila kiasi gani cha malighafi kinazalisha faida kiasi gani.
3.Itakua umeshatengeneza mtandao wa wanunuzi (wateja) wa bidhaa yako.
NB: KILA BAADA YA KUUZA ANGALAU MARA TANO HAKIKISHA UNAONGEZA UBORA WA BIDHAA YAKO KUELEKEA KUA NA UBORA WA KIMATAIFA.
BAADA YA MIAKA MINNE NAAMINI UTAMILIKI MASHINE ZA KUTENGENEZA BIDHAA ZA KARATASI ..Mf, Bahasha,mifuko kama hiyo n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Mifuko ya karatasi haina soko kwa sasa,tafuta ishu nyingine ya kufanya au ya kubuni upige hela maisha yaendelee.
mkuu umeielewa mada kweli?Mifuko ya karatasi haina soko kwa sasa,tafuta ishu nyingine ya kufanya au ya kubuni upige hela maisha yaendelee.
Wala kujua kutengeneza hakukupi credit ya kupata kazi coz mifuko ya karatasi inatengenezwa na Mashine ambazo haiitaji workers wengi (wawili au watano).
Uliyeelewa nieleweshe,?mkuu umeielewa mada kweli?
Nyinyi ndio mnaofanya watu wakae nyumban ulishawahi jiuliza kuna vibanda vingapi vya chipsi na kila kukicha vinazidi kuongezeka uwepo wa mifuko mingi sio sababu wa mtu kuekeza kwenge sekta hiyoMifuko ya karatasi haina soko kwa sasa,tafuta ishu nyingine ya kufanya au ya kubuni upige hela maisha yaendelee.
Wala kujua kutengeneza hakukupi credit ya kupata kazi coz mifuko ya karatasi inatengenezwa na Mashine ambazo haiitaji workers wengi (wawili au watano).
Yakuambiwa changanya na zako,hatuwezi wote tukafanana kimtazamo.Maisha hayana replay huu sio mda wa kufanya majaribio kijana anataka kufanya majaribio.Nyinyi ndio mnaofanya watu wakae nyumban ulishawahi jiuliza kuna vibanda vingapi vya chipsi na kila kukicha vinazidi kuongezeka uwepo wa mifuko mingi sio sababu wa mtu kuekeza kwenge sekta hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi ndio mnaofanya watu wakae nyumban ulishawahi jiuliza kuna vibanda vingapi vya chipsi na kila kukicha vinazidi kuongezeka uwepo wa mifuko mingi sio sababu wa mtu kuekeza kwenge sekta hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonyesha utakuwa umesomea mambo ya takwimu ebu tupe statistics ya vibanda vya chips kwa mwaka wa 2020??Nyinyi ndio mnaofanya watu wakae nyumban ulishawahi jiuliza kuna vibanda vingapi vya chipsi na kila kukicha vinazidi kuongezeka uwepo wa mifuko mingi sio sababu wa mtu kuekeza kwenge sekta hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mtazamo wako unaona mwisho watu watano,je akitaka kuajiri watu zadi ya kumi kuna ubaya gani hapo,hao wenye kuhukua watu wawili ama watano labda ni wachoyoMifuko ya karatasi haina soko kwa sasa,tafuta ishu nyingine ya kufanya au ya kubuni upige hela maisha yaendelee.
Wala kujua kutengeneza hakukupi credit ya kupata kazi coz mifuko ya karatasi inatengenezwa na Mashine ambazo haiitaji workers wengi (wawili au watano).
Namaanisha "Light Industry" ndio nyingi kwa bongo!Kwa mtazamo wako unaona mwisho watu watano,je akitaka kuajiri watu zadi ya kumi kuna ubaya gani hapo,hao wenye kuhukua watu wawili ama watano labda ni wachoyo