Naweza kuwa milionea kupitia kazi ya saluni ya kiume (barbershop)?

Naweza kuwa milionea kupitia kazi ya saluni ya kiume (barbershop)?

kesho kutwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2016
Posts
1,722
Reaction score
1,965
Yaani hii kazi nilishawai ifanya hapo mwanzo na ilinilipa kiasi, lakini kwa sasa nipo mkoa mwingine baada ya miaka minne na ninatafakari kuanzisha tena. Lengo nifike level ya saluni kubwa lakini kwa sasa itaanza tu ya kawaida.

Sasa je, naweza fika level za kuwa milionea kupitia hii kazi? Kuhusu hii skills huwa nipo fresh tu. Nilianza hii kazi baada ya kumaliza chuo ikatokea dharura za kifamilia nikaipiga bei.

Je, naweza kua milionea kupitia kazi hii?
 
Kuna wakuitwa CuttingMaster Barbarshop yule analaza 2M+ kwa mwezi Ikiwa na Scrub mashine za kisasa wireless kabisa,Kiti cha kisasa,wadada wazuri wa Scrub wengine wanaweka na Massage palor apo ndo wanakamata wateja kabisaaa..Utapiga hela mpaka uchizi..ila ikiwa ni kunyoa tu ukimaliza unamfuta mteja na kupaka spirit na poda utachelewa sana
 
Kuna wakuitwa CuttingMaster Barbarshop yule analaza 2M+ kwa mwezi Ikiwa na Scrub mashine za kisasa wireless kabisa,Kiti cha kisasa,wadada wazuri wa Scrub wengine wanaweka na Massage palor apo ndo wanakamata wateja kabisaaa..Utapiga hela mpaka uchizi..ila ikiwa ni kunyoa tu ukimaliza unamfuta mteja na kupaka spirit na poda utachelewa sana
Kenge asokua na mkia
 
Kuna wakuitwa CuttingMaster Barbarshop yule analaza 2M+ kwa mwezi Ikiwa na Scrub mashine za kisasa wireless kabisa,Kiti cha kisasa,wadada wazuri wa Scrub wengine wanaweka na Massage palor apo ndo wanakamata wateja kabisaaa..Utapiga hela mpaka uchizi..ila ikiwa ni kunyoa tu ukimaliza unamfuta mteja na kupaka spirit na poda utachelewa sana
Kuna akina pasco yaani kastyle simple tu ni elfu 70
 
Kuna wakuitwa CuttingMaster Barbarshop yule analaza 2M+ kwa mwezi Ikiwa na Scrub mashine za kisasa wireless kabisa,Kiti cha kisasa,wadada wazuri wa Scrub wengine wanaweka na Massage palor apo ndo wanakamata wateja kabisaaa..Utapiga hela mpaka uchizi..ila ikiwa ni kunyoa tu ukimaliza unamfuta mteja na kupaka spirit na poda utachelewa sana
Aha sawa
 
kazi haitokufanya kuwa millionea Ila ule mtaji utaopata kutoka saloon ya kwanza ukiutumia kuwekeza katika sehemu mbalimbali hapo ndo utaitwa millionea.

Job its just a steppingstone and not really success but if you want to be multimillionaire all you need is to invest in various assets
 
kazi haitokufanya kuwa millionea Ila ule mtaji utaopata kutoka saloon ya kwanza ukiutumia kuwekeza katika sehemu mbalimbali hapo ndo utaitwa millionea.

Job its just a steppingstone and not really success but if you want to be multimillionaire all you need is to invest in various assets
Nakubali mkuu
 
Yaani hii kazi nilishawai ifanya hapo mwanzo na ilinilipa kiasi, lakini kwa sasa nipo mkoa mwingine baada ya miaka minne na ninatafakari kuanzisha tena. Lengo nifike level ya saluni kubwa lakini kwa sasa itaanza tu ya kawaida.

Sasa je, naweza fika level za kuwa milionea kupitia hii kazi? Kuhusu hii skills huwa nipo fresh tu. Nilianza hii kazi baada ya kumaliza chuo ikatokea dharura za kifamilia nikaipiga bei.

Je, naweza kua milionea kupitia kazi hii?
Labda iwapo pia ukiwa Punda mbeba sembe🤣
 
Back
Top Bottom