Naweza kuwa milionea kupitia kazi ya saluni ya kiume (barbershop)?

Naweza kuwa milionea kupitia kazi ya saluni ya kiume (barbershop)?

Biashara yoyote ukijituma ukaacha mambo mengine yote ya kidunia, ukaachana na washikaji sijui ndugu, yaani wewe macho yote kwenye hela tu na unaangalia hela tu na miradi yako basi utatoboa ila
Uwe na hela na huna furaha au uwe na furaha ila maisha ya kawaida, chaguo ni lako
 
Yaani hii kazi nilishawai ifanya hapo mwanzo na ilinilipa kiasi, lakini kwa sasa nipo mkoa mwingine baada ya miaka minne na ninatafakari kuanzisha tena. Lengo nifike level ya saluni kubwa lakini kwa sasa itaanza tu ya kawaida.

Sasa je, naweza fika level za kuwa milionea kupitia hii kazi? Kuhusu hii skills huwa nipo fresh tu. Nilianza hii kazi baada ya kumaliza chuo ikatokea dharura za kifamilia nikaipiga bei.

Je, naweza kua milionea kupitia kazi hii?
Unaweza kuwa ombaomba na ukawa milionea. Unaweza kuwa mwizi na jambazi ukawa milionea.

Niulize tu, Lengo lako ni kuwa milionea au lengo lako ni kuwa Mfanyabisahara au mjasiriliamali.
Lengo nifike level ya saluni kubwa



 
Kuna wakuitwa CuttingMaster Barbarshop yule analaza 2M+ kwa mwezi Ikiwa na Scrub mashine za kisasa wireless kabisa,Kiti cha kisasa,wadada wazuri wa Scrub wengine wanaweka na Massage palor apo ndo wanakamata wateja kabisaaa..Utapiga hela mpaka uchizi..ila ikiwa ni kunyoa tu ukimaliza unamfuta mteja na kupaka spirit na poda utachelewa sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom