Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio.Naweza kuwa na namba ya utambulisho ya mlipa kodi/TIN pasi kuwa na biashara?
Asante sana, nilihisi ni kosa kisheriaNdio.
Nilikuwa namaana ya busness TIN nduguNdio. Kwa Sasa kila mwajiriwa anatakiwa kuwa na TIN. Kila dreva au anayenunua chombo Cha usafiri Kama gari na pikipiki anapaswa kuwa nayo
Asante ndugu,kwahiyo naweza kuwa nayo busness TIN sasa ila nikaitumia kwenye biashara mwakani?Na tunataka kila mwananchi awe na TIN tena tutaweka kwenye vitambulisho vya utaifa ili tujue ni watu gani wanafanya biashara, mzunguko wao wa biashara, wanafanyia wapi nk pia itasaidia kwenye usalama wa wafanyabiashara.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Unaweza.Asante ndugu,kwahiyo naweza kuwa nayo busness TIN sasa ila nikaitumia kwenye biashara mwakani?
Asante ndugu yangu, ila pale online kuna sehemu ya kuonyesha unaanza lini biashara yako vipi usipoanza muda ulioutaja pia? Nikiwa na maana mtu akianza nje ya muda aliotaja?Eeh unaruhusiwa tena kama una namba ya NIDA unaweza omba online
Jiongeze dogoAsante ndugu yangu, ila pale online kunasehemu ya kuonyesha unaanza lini biashara yako vipi usipoanza muda ulioutaja pia? Nikiwa na maana mtu akianza nje ya muda aliotaja?
Huwezi kupata Business Tin bila kulipa kodiNilikuwa namaana ya busness TIN ndugu
Aisee ajiongeze vipi sasa.Jiongeze dogo
Asee unadhani natumia lugha nyepesi sana sio ukadhani mimi ni dogo?Jiongeze
Tunapiga fine tu,hatukufungi..Asante ndugu yangu, ila pale online kuna sehemu ya kuonyesha unaanza lini biashara yako vipi usipoanza muda ulioutaja pia? Nikiwa na maana mtu akianza nje ya muda aliotaja?
Jambo jemaTunapiga fine tu,hatukufungi..
Jua kwanza kirefu cha (TIN) Taxpayer Identification Number,namba ya mlipa kodi,huwezi kumiliki tu TIN na ukakaa nayo kama line ya simu wakati hulipi kodi, siku utakaposajili TIN wewe ndo mlipa kodi tokea hapo,na ole wako ukaenayo miaka kadhaa bila kulipa kodi au uipoteze itakula kwako,TRA wanakukokotolea kodi kuanzia day one ya usajili kwenye mtandao na kwa serikali hii utakuwa na bahati kama hujabambikiziwa kesi ya utakatishaji fedhaNaweza kuwa na namba ya utambulisho ya mlipa kodi/TIN pasi kuwa na biashara/ kuitumia?
TIN mbili zenye jina moja??Ndio.
Unafanyaje? Nilikua moja yenye details zangu nikanyimwa kufungua ingne isio ya biashara maana ya kwanza ni ya biashara.Ndio.
😀😀😀😀😀kweli wewe 900 itapendeza zaidiJua kwanza kirefu cha (TIN) Taxpayer Identification Number,namba ya mlipa kodi,huwezi kumiliki tu TIN na ukakaa nayo kama line ya simu wakati hulipi kodi, siku utakaposajili TIN wewe ndo mlipa kodi tokea hapo,na ole wako ukaenayo miaka kadhaa bila kulipa kodi au uipoteze itakula kwako,TRA wanakukokotolea kodi kuanzia day one ya usajili kwenye mtandao na kwa serikali hii utakuwa na bahati kama hujabambikiziwa kesi ya utakatishaji fedha