Kabulala
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 695
- 936
Leo nimeenda Bank kuchukua pesa ambazo kabla sijaanza kuwapatia wanihifadhie tulipeana masharti.
Cha kushangaza Leo nimeenda branches mbili zote walinzi wao (ambao hawakuwepo wakati nawekeana makubaliano na bank kuhusu vigezo na masharti) wakanizuia kuingia ndani kuchukua pesa zangu Kwa kigezo eti sijavaa Barakoa..na Mimi nikivaa Barakoa nashindwa kupumua.
Na kutopata access ya pesa yangu niliyowapatia Kwa makubaliano maalumu (Barakoa haikua mojawapo) Leo nimepata hasara na usumbufu Mkubwa.
Naomba wanaojua Sheria za Haki za mteja wanishauri kama naweza KUWASHITAKI CRDB ili walipe fidia Kwa usumbufu na kadhia waliyonipatia bila ata taarifa ya awali..!?
Cha kushangaza Leo nimeenda branches mbili zote walinzi wao (ambao hawakuwepo wakati nawekeana makubaliano na bank kuhusu vigezo na masharti) wakanizuia kuingia ndani kuchukua pesa zangu Kwa kigezo eti sijavaa Barakoa..na Mimi nikivaa Barakoa nashindwa kupumua.
Na kutopata access ya pesa yangu niliyowapatia Kwa makubaliano maalumu (Barakoa haikua mojawapo) Leo nimepata hasara na usumbufu Mkubwa.
Naomba wanaojua Sheria za Haki za mteja wanishauri kama naweza KUWASHITAKI CRDB ili walipe fidia Kwa usumbufu na kadhia waliyonipatia bila ata taarifa ya awali..!?