Naweza kuwashitaki CRDB ili walipe fidia kwa usumbufu na kadhia?

Acha ujinga wewe,kuna neno moja unatakiwa kulielewa ''Vigezo na Masharti kuzingatiwa" kaa ulitafakari ilo neno,ni sawa na utaratibu wao bank wanaposema bank kufungwa saa 10 kamili na wewe ukafika saa 10 na dakika 2 hawawezi kukufungulia mlango hata kama iyo hela unayotaka kutoa unaenda kumuuguza mgonjwa ama dharura yoyote ile hawawezi kukufungulia,huo ndio utaratibu wao so kaa kwa kutulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…