Naweza kuzaa kwa IVF baada ya kuwa nilifunga kizazi?

Naweza kuzaa kwa IVF baada ya kuwa nilifunga kizazi?

Cathy Diwani

Senior Member
Joined
Feb 13, 2016
Posts
120
Reaction score
185
Salaam wana jukwaa,

Mimi ni mwanamke nina umri wa miaka 35. Nilizaa watoto watatu, mdogo ana miaka 8 sasa. Nilikuwa nikisumbuliwa sana na kisukari daktari akanifunga kizazi. Nimedhibiti kisukari kwa chakula na sasa sukari iko kawaida kwa miaka miwili sasa. Bado niko makini sana na vyakula, na afya yangu ni njema sana. Nafikiria kuongeza mtoto kama inawezekana.

Je, kuna utaalamu naweza kutumia kuzaa baada ya kuwa nilifunga kizazi? Kwa IVF itawezekana? Kama inawezekana, Tanzania hii huduma ipo? Na gharama zake zikoje? Ni zipi risk zake?

Asanteni sana,natumaini kupata msaada hapa, na ushauri pia ninapokea.

Cathy.
 
Salaam wana jukwaa,

Mimi ni mwanamke nina umri wa miaka 35. Nilizaa watoto watatu, mdogo ana miaka 8 sasa. Nilikuwa nikisumbuliwa sana na kisukari daktari akanifunga kizazi. Nimedhibiti kisukari kwa chakula na sasa sukari iko kawaida kwa miaka miwili sasa. Bado niko makini sana na vyakula, na afya yangu ni njema sana. Nafikiria kuongeza mtoto kama inawezekana.

Je, kuna utaalamu naweza kutumia kuzaa baada ya kuwa nilifunga kizazi? Kwa IVF itawezekana? Kama inawezekana, Tanzania hii huduma ipo? Na gharama zake zikoje? Ni zipi risk zake?

Asanteni sana,natumaini kupata msaada hapa, na ushauri pia ninapokea.

Cathy.

Ngoja wataalamu waje Cathy.
 
Salaam wana jukwaa,

Mimi ni mwanamke nina umri wa miaka 35. Nilizaa watoto watatu, mdogo ana miaka 8 sasa. Nilikuwa nikisumbuliwa sana na kisukari daktari akanifunga kizazi. Nimedhibiti kisukari kwa chakula na sasa sukari iko kawaida kwa miaka miwili sasa. Bado niko makini sana na vyakula, na afya yangu ni njema sana. Nafikiria kuongeza mtoto kama inawezekana.

Je, kuna utaalamu naweza kutumia kuzaa baada ya kuwa nilifunga kizazi? Kwa IVF itawezekana? Kama inawezekana, Tanzania hii huduma ipo? Na gharama zake zikoje? Ni zipi risk zake?

Asanteni sana,natumaini kupata msaada hapa, na ushauri pia ninapokea.

Cathy.
Nashauri japo si mtaalam wa afya,ubakie na hao watoto watatu huku ukiendelea kujiweka sawa kiafya na kuwatunza wanao wakue vizuri,wakichukua tahadhari za kiafya nao wasije pata sukari ukubwani.
 
Back
Top Bottom