Naweza msaidiaje huyu Mdogo wangu wa kike?

Naweza msaidiaje huyu Mdogo wangu wa kike?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Habari ya uzima,

Nina Mdogo wangu yupo chuo kikuu anasoma Education mwaka wa pili English na Kiswahili.

Kama mnavyojua changamoto ya Elimu yetu unaweza kutoboa Hadi chuo kikuu lakini bado ukawa haupo smart au competence katika kudadavua Mambo ya Maisha na career yako. Huyu Mdogo wang yeye ni wale wanaitwa Introvert watu wa kukaa ndani 24/7 so yeye akitoka chuo ni ndani . So mpaka Muda huu ameshindwa kutengeneza Networks na watu.

Sasa nachofahamu Muda huu Kupata ajira sio Jambo rahisi, nilitamani huyu Mdogo wangu wa kike aanze kujifunza masuala ya upambaji na catering kwa wakati mmoja .

Basi naomba Mtu anayejihusisha na hizi Mambo za upambaji na catering tuwasiliane ntampatia kitu ili Huyu Mdogo wangu siku za weekend kuanzia Friday to Sunday aweze jifunza hizo Kazi za mikono.

Huyu ndugu yangu wa kike she has 20 yrs na anapenda kujifunza.

Ahsante.
 
Mshika mawili moja humponyoka. Yuko chuo anasoma education unataka ajifunze catering 😄 huoni kama unamchnganyia mambo meng?
Hapana mkuu napingana na mawazo yako...kwa hali ya maisha tunayokwenda nayo kwa sasa si vibaya akiwa na ujuzi wa mambo tofauti tofauti mfano?;Anaweza kuwa mwl. na wakati huo huo akawa mpambaji au nyota yake ikang'aa kwenye upambaji kama Mc gara b tunavyomuona leo kwenye uwe mc wake lkn yule aliacha kazi ya uwalimu.
 
Hapana mkuu napingana na mawazo yako...kwa hali ya maisha tunayokwenda nayo kwa sasa si vibaya akiwa na ujuzi wa mambo tofauti tofauti mfano?;Anaweza kuwa mwl. na wakati huo huo akawa mpambaji au nyota yake ikang'aa kwenye upambaji kama Mc gara b tunavyomuona leo kwenye uwe mc wake lkn yule aliacha kazi ya uwalimu.
1. Huwezi Tumikiq mabwana wawili -Bible

2. Mshika mawili moja humponyoka

3. Mataka yote kwa pupa moja humponyoka


Je anaweza kuwa mwalimu na akawa na mda wa kufahya catering wakati mda wote yuko shule anafundisha?
Au ni yale ya kuwa mwalimu ana bodaboda kwa hiyo mguu mmoja shuleni mmoja barabarani anaokota buku buku?
 
Unataka umuharibie tu maisha huyo mdogo wako, yupo mwaka 2 una haraka ya nini, ngoja amalize chuo ndipo umtafutie sehem ya kujifunza... Halafu kuwa makini utakuja kujuta sana usiamini watu ktk mitandao eti watakupatia msaada au connection... Watu wa catering na mapambo sasahivi wapo kila mtaa embu tafuta watu jirani zako unaowafaham uwaombe mdogo wako akimaliza chuo aingie kujifunza...
 
Hapana mkuu napingana na mawazo yako...kwa hali ya maisha tunayokwenda nayo kwa sasa si vibaya akiwa na ujuzi wa mambo tofauti tofauti mfano?;Anaweza kuwa mwl. na wakati huo huo akawa mpambaji au nyota yake ikang'aa kwenye upambaji kama Mc gara b tunavyomuona leo kwenye uwe mc wake lkn yule aliacha kazi ya uwalimu.
Kwa nini usisubiri amalize masomo? Haya unampangia au ndio mwenyewe atakavyo?
 
Nafikiri msaada mzuri unaoweza kumpa ni kumuuliza anataka kufanya nini kuliko kufikiria kwa niaba yake.

Kama ushasema hayupo smart/competent, unahisi atamudu kufanya vitu viwili kwa wakati mmoja?

Kila kitu ili ukifanye kwa ukamilifu na mafanikio inapaswa uwe na mapenzi nacho (passion), je ana passion ya upambaji na catering ama unahisi tu kuwa atapenda/ataweza?

Mambo ya upambaji na catering yanajumuisha halaiki (sherehe na mikusanyiko), ushasema ni introvert, unahisi atamudu pressure ya ku deal na watu wengi?
 
1. Huwezi Tumikiq mabwana wawili -Bible

2. Mshika mawili moja humponyoka

3. Mataka yote kwa pupa moja humponyoka


Je anaweza kuwa mwalimu na akawa na mda wa kufahya catering wakati mda wote yuko shule anafundisha?
Au ni yale ya kuwa mwalimu ana bodaboda kwa hiyo mguu mmoja shuleni mmoja barabarani anaokota buku buku?
Labda kwako ndo huwez kufanya mambo mawili kwa wakat mmoja sie tunafanya na mambo yanaenda fresh kabisa.
 
Unataka umuharibie tu maisha huyo mdogo wako, yupo mwaka 2 una haraka ya nini, ngoja amalize chuo ndipo umtafutie sehem ya kujifunza... Halafu kuwa makini utakuja kujuta sana usiamini watu ktk mitandao eti watakupatia msaada au connection... Watu wa catering na mapambo sasahivi wapo kila mtaa embu tafuta watu jirani zako unaowafaham uwaombe mdogo wako akimaliza chuo aingie kujifunza...


Zingatia huu ushauri mtoa mada.
 
Muache asome kwanza amalize chuo, usije kumlundikia mambo ukamvuruga na chuo akafeli ikawa hasara.

Usiamini sana katika networks maana kuna watu wana ndugu zao wa damu kabisa ni wakubwa kwenye vitengo ila wanasota na kutafuta ajira, sembuse mtu baki?

Mkazanie kwenye masomo then akimaliza wakati anatafuta kazi ndio msupport kwa kile anachotaka kujifunza and mind you "biashara sio ya kila mtu" so usimforce kwa kile ambacho atakwambia hawezi kufanya...
Mtie moyo atapata tu ajira, usikate tamaa mapema.
 
Habari ya uzima,

Nina Mdogo wangu yupo chuo kikuu anasoma Education mwaka wa pili English na Kiswahili.

Kama mnavyojua changamoto ya Elimu yetu unaweza kutoboa Hadi chuo kikuu lakini bado ukawa haupo smart au competence katika kudadavua Mambo ya Maisha na career yako. Huyu Mdogo wang yeye ni wale wanaitwa Introvert watu wa kukaa ndani 24/7 so yeye akitoka chuo ni ndani . So mpaka Muda huu ameshindwa kutengeneza Networks na watu.

Sasa nachofahamu Muda huu Kupata ajira sio Jambo rahisi, nilitamani huyu Mdogo wangu wa kike aanze kujifunza masuala ya upambaji na catering kwa wakati mmoja .

Basi naomba Mtu anayejihusisha na hizi Mambo za upambaji na catering tuwasiliane ntampatia kitu ili Huyu Mdogo wangu siku za weekend kuanzia Friday to Sunday aweze jifunza hizo Kazi za mikono.

Huyu ndugu yangu wa kike she has 20 yrs na anapenda kujifunza.

Ahsante.
Mtafutie mume umpe mna ata ww saivi unatafuta mke
 
samahan lakin, kwann asifanye kitu ambacho kinaendana na fani yake kama kufundisha tuition zile za jion wakat anakuwa ameshatoka chuo, kama yuko makini hasaa anweza kufany vitu viwili kwa pamoja
 
Habari ya uzima,

Nina Mdogo wangu yupo chuo kikuu anasoma Education mwaka wa pili English na Kiswahili.

Kama mnavyojua changamoto ya Elimu yetu unaweza kutoboa Hadi chuo kikuu lakini bado ukawa haupo smart au competence katika kudadavua Mambo ya Maisha na career yako. Huyu Mdogo wang yeye ni wale wanaitwa Introvert watu wa kukaa ndani 24/7 so yeye akitoka chuo ni ndani . So mpaka Muda huu ameshindwa kutengeneza Networks na watu.

Sasa nachofahamu Muda huu Kupata ajira sio Jambo rahisi, nilitamani huyu Mdogo wangu wa kike aanze kujifunza masuala ya upambaji na catering kwa wakati mmoja .

Basi naomba Mtu anayejihusisha na hizi Mambo za upambaji na catering tuwasiliane ntampatia kitu ili Huyu Mdogo wangu siku za weekend kuanzia Friday to Sunday aweze jifunza hizo Kazi za mikono.

Huyu ndugu yangu wa kike she has 20 yrs na anapenda kujifunza.

Ahsante.
Km hujui kiingereza si uache kuitumia eti "hayuko smart au competence" Ni aibu, ila watanzania hawajui kiingereza. Mtu hajui kutofautisha, noun, pronoun, verb, adverb, n.k Km hujui lugha ya watu iache
 
Habari ya uzima,

Nina Mdogo wangu yupo chuo kikuu anasoma Education mwaka wa pili English na Kiswahili.

Kama mnavyojua changamoto ya Elimu yetu unaweza kutoboa Hadi chuo kikuu lakini bado ukawa haupo smart au competence katika kudadavua Mambo ya Maisha na career yako. Huyu Mdogo wang yeye ni wale wanaitwa Introvert watu wa kukaa ndani 24/7 so yeye akitoka chuo ni ndani . So mpaka Muda huu ameshindwa kutengeneza Networks na watu.

Sasa nachofahamu Muda huu Kupata ajira sio Jambo rahisi, nilitamani huyu Mdogo wangu wa kike aanze kujifunza masuala ya upambaji na catering kwa wakati mmoja .

Basi naomba Mtu anayejihusisha na hizi Mambo za upambaji na catering tuwasiliane ntampatia kitu ili Huyu Mdogo wangu siku za weekend kuanzia Friday to Sunday aweze jifunza hizo Kazi za mikono.

Huyu ndugu yangu wa kike she has 20 yrs na anapenda kujifunza.

Ahsante.
Habari ya uzima,

Nina Mdogo wangu yupo chuo kikuu anasoma Education mwaka wa pili English na Kiswahili.

Kama mnavyojua changamoto ya Elimu yetu unaweza kutoboa Hadi chuo kikuu lakini bado ukawa haupo smart au competence katika kudadavua Mambo ya Maisha na career yako. Huyu Mdogo wang yeye ni wale wanaitwa Introvert watu wa kukaa ndani 24/7 so yeye akitoka chuo ni ndani . So mpaka Muda huu ameshindwa kutengeneza Networks na watu.

Sasa nachofahamu Muda huu Kupata ajira sio Jambo rahisi, nilitamani huyu Mdogo wangu wa kike aanze kujifunza masuala ya upambaji na catering kwa wakati mmoja .

Basi naomba Mtu anayejihusisha na hizi Mambo za upambaji na catering tuwasiliane ntampatia kitu ili Huyu Mdogo wangu siku za weekend kuanzia Friday to Sunday aweze jifunza hizo Kazi za mikono.

Huyu ndugu yangu wa kike she has 20 yrs na anapenda kujifunza.

Ahsante.
Hujielewi
 
Upambaji na Catering inabidi Mtu awe shapu siyo aliyezubaa, msaidie aweze kupata Tuition hiyo ndiyo fani yake.
 
Wala mdogo wako hasomi chuo, ni wewe mwenyewe unatafuta mchumba kupitia mwanvuli wa mdogo wako.
 
Habari ya uzima,

Nina Mdogo wangu yupo chuo kikuu anasoma Education mwaka wa pili English na Kiswahili.

Kama mnavyojua changamoto ya Elimu yetu unaweza kutoboa Hadi chuo kikuu lakini bado ukawa haupo smart au competence katika kudadavua Mambo ya Maisha na career yako. Huyu Mdogo wang yeye ni wale wanaitwa Introvert watu wa kukaa ndani 24/7 so yeye akitoka chuo ni ndani . So mpaka Muda huu ameshindwa kutengeneza Networks na watu.

Sasa nachofahamu Muda huu Kupata ajira sio Jambo rahisi, nilitamani huyu Mdogo wangu wa kike aanze kujifunza masuala ya upambaji na catering kwa wakati mmoja .

Basi naomba Mtu anayejihusisha na hizi Mambo za upambaji na catering tuwasiliane ntampatia kitu ili Huyu Mdogo wangu siku za weekend kuanzia Friday to Sunday aweze jifunza hizo Kazi za mikono.

Huyu ndugu yangu wa kike she has 20 yrs na anapenda kujifunza.

Ahsante.
Mkuu kama kuna kitu kinalipa kwa sasa ni kiswahili. Malinguist wa kiswahili wanapga pesa kinoma ila inabidi awe mtu wa kutafuta fursa. Kuna watu wamedaka nafasi za kuwa language lead wa Google na wengine agencies mbalimbali wanakula zaidi ya $2000 kwa mwezi.
Shida kama sio mtu wa kujichanganya hawezi kujua hizi mambo
 
Unataka umuharibie tu maisha huyo mdogo wako, yupo mwaka 2 una haraka ya nini, ngoja amalize chuo ndipo umtafutie sehem ya kujifunza... Halafu kuwa makini utakuja kujuta sana usiamini watu ktk mitandao eti watakupatia msaada au connection... Watu wa catering na mapambo sasahivi wapo kila mtaa embu tafuta watu jirani zako unaowafaham uwaombe mdogo wako akimaliza chuo aingie kujifunza...
100% true. Hofu yake ni kuwa introversion ya mdogo wake utamcheleweshea ajira. Sasa muache amforce awe extrovert ili wamuwahishie mimba na udangaji.
 
Back
Top Bottom