Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
sawa geniusLabda kwako ndo huwez kufanya mambo mawili kwa wakat mmoja sie tunafanya na mambo yanaenda fresh kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa geniusLabda kwako ndo huwez kufanya mambo mawili kwa wakat mmoja sie tunafanya na mambo yanaenda fresh kabisa.
Nishapigwa cha mbavu na bwana shemeji,maana sijaona mlejesho wowote kutoka kwake😀😀.[emoji38][emoji38][emoji38]
Kila la kheri mkuu kwenye hiyo fursa
Mkuu subiri kwanzaNishapigwa cha mbavu na bwana shemeji,maana sijaona mlejesho wowote kutoka kwake😀😀.
Habari ya uzima,
Nina Mdogo wangu yupo chuo kikuu anasoma Education mwaka wa pili English na Kiswahili.
Kama mnavyojua changamoto ya Elimu yetu unaweza kutoboa Hadi chuo kikuu lakini bado ukawa haupo smart au competence katika kudadavua Mambo ya Maisha na career yako. Huyu Mdogo wang yeye ni wale wanaitwa Introvert watu wa kukaa ndani 24/7 so yeye akitoka chuo ni ndani . So mpaka Muda huu ameshindwa kutengeneza Networks na watu.
Sasa nachofahamu Muda huu Kupata ajira sio Jambo rahisi, nilitamani huyu Mdogo wangu wa kike aanze kujifunza masuala ya upambaji na catering kwa wakati mmoja .
Basi naomba Mtu anayejihusisha na hizi Mambo za upambaji na catering tuwasiliane ntampatia kitu ili Huyu Mdogo wangu siku za weekend kuanzia Friday to Sunday aweze jifunza hizo Kazi za mikono.
Huyu ndugu yangu wa kike she has 20 yrs na anapenda kujifunza.
Ahsante.
Kama alifaulu masomo ya sayansi mwambie asipoteze muda ajiunge na vyuo vya kati faster asomee nursing, CO, n.kMuache asome kwanza amalize chuo, usije kumlundikia mambo ukamvuruga na chuo akafeli ikawa hasara.
Usiamini sana katika networks maana kuna watu wana ndugu zao wa damu kabisa ni wakubwa kwenye vitengo ila wanasota na kutafuta ajira, sembuse mtu baki?
Mkazanie kwenye masomo then akimaliza wakati anatafuta kazi ndio msupport kwa kile anachotaka kujifunza and mind you "biashara sio ya kila mtu" so usimforce kwa kile ambacho atakwambia hawezi kufanya...
Mtie moyo atapata tu ajira, usikate tamaa mapema.