Tanzanite255
Member
- Apr 12, 2024
- 34
- 66
Kama tangazo linavyojieleza nataka lain ya Router Airtel ile yenye kifurushi cha 70k 10Mbps, router ninayo. Je kuna mtu anaweza akafanya ma nouver nisajili hiyo lain bila kununua router!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezekani mkuukama Tangazo linavo jieleza nataka lain ya Router Airtel ile yenye kifurush cha 70k 10Mbps router ninayo je kuna mtu anaweza akafanya ma nouver nisajili hiyo lain bila kununua router
inawezekana labda wewe huwez lain za kifurush cha 110k + zinauzwa 7k router ku unlock router 10k software version lazma iwe chin ya 4.0.1 kama huwez kaa pemben angalia router nime unlock kabisa lain za kifurush cha 50 mbps had 120mbps zinauzwa 100k (kile kifurush cha 150k unakipata kwa 50k ) na unazipata vzr kabisa router lazma iwe x25 au x28 kama wewe huwez ni wewe nasubr wanao weza nasema hvo coz nimeona inawezekanaHaiwezekani mkuu
Ngoja tuwasubr inawezekan nimeona inawezekana ndo mana nime andika hvoWenyewe wakuja🏃♂️
kwa voda wanachofanya ni ku associate line na imei namba za router, line lazima isajiliwe na router yake, na ukiiweka kwenye router ingine haifanyi kazi, sasa sijui mitandao mingine kama airtelkama Tangazo linavo jieleza nataka lain ya Router Airtel ile yenye kifurush cha 70k 10Mbps router ninayo je kuna mtu anaweza akafanya ma nouver nisajili hiyo lain bila kununua router
Njoo inboxkama Tangazo linavo jieleza nataka lain ya Router Airtel ile yenye kifurush cha 70k 10Mbps router ninayo je kuna mtu anaweza akafanya ma nouver nisajili hiyo lain bila kununua router
sawa mkuuNjoo inbox
Staki za vodacom hzo ni post paid kama lain za Tigo yan usipo lipa deni unalikuta pale pale na usipo lipa lina ongezeka sheria kibao + eneo nalokaa Airtel inafanya kaz vzr Tigo lain zake za router zinasoma kwenye simu vzr kabisa tatzo bei ya router ndo tatzo na wana limit ya GB kwa sikukwa voda wanachofanya ni ku associate line na imei namba za router, line lazima isajiliwe na router yake, na ukiiweka kwenye router ingine haifanyi kazi, sasa sijui mitandao mingine kama airtel
Hivi line zote zinawezaje kupata vifurushi vya MbpsKama tangazo linavyojieleza nataka lain ya Router Airtel ile yenye kifurushi cha 70k 10Mbps, router ninayo. Je kuna mtu anaweza akafanya ma nouver nisajili hiyo lain bila kununua router!
evidence ya hiyo post . .?Kulikua na watu wanalalamika baada ya muda kifurushi cha 70K kinaondoka kwa Airtel, jukwaani ikagundulika ni line za 110K, kuwa makini mkuu.
Nadhani hapo Kingsmann atakuwa na jibu sahihi kwasababu yeye ni mdau wa hiyo package na juzi hapo kafunga mwaka akiwa mteja wa hicho kifurushi
Ipo na hio ilikuwa inatolewa kama trial nimesahau mtu kalipa 70K kikaja kikapotea, iliwakuta watu ambao hawakununua router, nikikaa vizuri nitasearch kwenye ule uzi.kumbe nyie mlichukua na mkalipa 110k mm nilidhan kilikuwepo kikapotea maana jamaa aliandika hv na quote (Kulikua na watu wanalalamika baada ya muda kifurushi cha 70K kinaondoka kwa Airtel,)
View attachment 3117897
pamoja kiongozIpo na hio ilikuwa inatolewa kama trial nimesahau mtu kalipa 70K kikaja kikapotea, iliwakuta watu ambao hawakununua router, nikikaa vizuri nitasearch kwenye ule uzi.
Hii iliwatokea watu waliosajiliwa kwenye kifurushi cha Enteprise/Business huku wakiahidiwa kwamba baada ya mwezi wataweza kuwa na access na kifurushi cha Retail/Home.
Je laini za Halotel (unlimited) una access nazo? Je ni tzs ngapi unauza?inawezekana labda wewe huwez lain za kifurush cha 110k + zinauzwa 7k router ku unlock router 10k software version lazma iwe chin ya 4.0.1 kama huwez kaa pemben angalia router nime unlock kabisa lain za kifurush cha 50 mbps had 120mbps zinauzwa 100k (kile kifurush cha 150k unakipata kwa 50k ) na unazipata vzr kabisa router lazma iwe x25 au x28 kama wewe huwez ni wewe nasubr wanao weza nasema hvo coz nimeona inawezekana
Huko unakoulizia ndio watu wanako kukimbia.Je laini za Halotel (unlimited) una access nazo? Je ni tzs ngapi unauza?