ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Habarini ndugu zangu!
Nina tabia ya kunyonya matiti wakati wa kujaminiana tena hupenda kuzing'ata ng'ata chuchu hivii kwa mtindo wa kumtekenya mwenzi wangu wakati wa kumuandaa. Japokua niko makini sana katika matumizi ya kondom.
Swali ni je naweza pata maambukizi ya ukimwi kwa kufanya hivi?
Nina tabia ya kunyonya matiti wakati wa kujaminiana tena hupenda kuzing'ata ng'ata chuchu hivii kwa mtindo wa kumtekenya mwenzi wangu wakati wa kumuandaa. Japokua niko makini sana katika matumizi ya kondom.
Swali ni je naweza pata maambukizi ya ukimwi kwa kufanya hivi?