Richmoto Kushmoto
JF-Expert Member
- Jan 18, 2021
- 549
- 560
iwe samsung ,tecno,sony,nokia kwa hizi brand yenye camera wauzaji mnicheki humu 0620314884
Hata infinix wereva hapati?Jiongeze kidogo, hadi angalau 350,000. Utapata simu nzuri. Kwa bajeti ya 200,000/ huwezi kupata simu mpya ambayo ni nzuri.
Hata infinix wereva hapati?
Dukani unapata infinix smart 5, shida Haina 4G ila 230 unapata infinix hot 8Iwe samsung, Tecno, Sony, Nokia kwa hizi brand yenye camera wauzaji mnicheki humu 0620314884
Hivi mkuu Ukiondoa ubora wa picha iphone6 ina kipi cha ziada? Nisaidie hapa mkuuOngeza 200k ingine ili upate iphone 6
Hivi mkuu Ukiondoa ubora wa picha iphone6 ina kipi cha ziada? Nisaidie hapa mkuu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kama ipi nipe nichek 0620314884Zipo nyingi tuu
Mtu akiongelea security kwenye smartphone halafu akaweka mfano wake wenye Iphone anaonekana kabisa uwezo wake wa kuelewa mambo una mushkeli.Security, durability etc
Mtu akiongelea security kwenye smartphone halafu akaweka mfano wake wenye Iphone anaonekana kabisa uwezo wake wa kuelewa mambo una mushkeli.
Kwenye ulimwengu wa teknolojia ikiwemo simu hakuna guarantee ya security, ni wajinga tu wanaendelea kudanganywa ama kutokujua kuhusu hilo.
Durability maana yake nini? Ama unaandika tu.
Kudumu muda mrefu ni jambo la mtu binafsi, unakutana leo mtu ana Samsung Note 2 ila mwingine alinunua mwaka jana S20 imeshaharibika.Ha ha mbona umemshukia kama mwewe..
Kweli security kibongo bongo ni uongo..
Nadhan durability alimaanisha simu inaweza kudumu kwa muda mtefu, kwa case ya iphone angalau zinakaa.
muwe mnataja thamani kukaa muda mrefu mtaeleweka.Ha ha mbona umemshukia kama mwewe..
Kweli security kibongo bongo ni uongo..
Nadhan durability alimaanisha simu inaweza kudumu kwa muda mtefu, kwa case ya iphone angalau zinakaa.
Dukani unapata infinix smart 5, shida Haina 4G ila 230 unapata infinix hot 8
Sasa kwa pesa hiyo zaidi ya Tecno iliyo changamka atapata simu gani, hata Samsung za Bei hiyo ni Tecno zilizo changamka Zina ma MTKInifinix ni Tecno iliyochangamka
Hahaha unajaribu kumtoa ufungwani.Mtu akiongelea security kwenye smartphone halafu akaweka mfano wake wenye Iphone anaonekana kabisa uwezo wake wa kuelewa mambo una mushkeli.
Kwenye ulimwengu wa teknolojia ikiwemo simu hakuna guarantee ya security, ni wajinga tu wanaendelea kudanganywa ama kutokujua kuhusu hilo.
Durability maana yake nini? Ama unaandika tu.
Hahaha unajaribu kumtoa ufungwani.Mtu akiongelea security kwenye smartphone halafu akaweka mfano wake wenye Iphone anaonekana kabisa uwezo wake wa kuelewa mambo una mushkeli.
Kwenye ulimwengu wa teknolojia ikiwemo simu hakuna guarantee ya security, ni wajinga tu wanaendelea kudanganywa ama kutokujua kuhusu hilo.
Durability maana yake nini? Ama unaandika tu.