Soma mada yake kwanza ndio jibu swali "Naweza kuwa super agent wa Yas, m-pesa""
Jibu:- Ndio anaweza
Hayo ya marekebisho ya ofisi umeyatoa wapi?
Fact:-
1. Mil 12 ndio mtaji
2. Anaenda YAS anapeleka attachment, wanampa TILL ya SUPER AGENT.
Halafu anaweka float Mil 12.
3. Anaenda Mpesa anapeleka Attachment, wanampa TILL ya Super AGENT.
ile ilr Mil 12 ya YAS anaweka Mpesa
4. Anaendelea hivyohivyo kwa Halopesa na Airtel Money.
NB.
Mtaji haujawahi tosha kwenye biashara.
Huna sababu ya kuanza kwa ukubwa ""START SMALL""
#YNWA
Soma mada yake kwanza ndio jibu swali "Naweza kuwa super agent wa Yas, m-pesa""
Jibu:- Ndio anaweza
Hayo ya marekebisho ya ofisi umeyatoa wapi?
Fact:-
1. Mil 12 ndio mtaji
2. Anaenda YAS anapeleka attachment, wanampa TILL ya SUPER AGENT.
Halafu anaweka float Mil 12.
3. Anaenda Mpesa anapeleka Attachment, wanampa TILL ya Super AGENT.
ile ilr Mil 12 ya YAS anaweka Mpesa
4. Anaendelea hivyohivyo kwa Halopesa na Airtel Money.
NB.
Mtaji haujawahi tosha kwenye biashara.
Huna sababu ya kuanza kwa ukubwa ""START SMALL""
#YNWA
#YANGA_BINGWA
#YANGA_BINGWA