Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa kashasema mvivu atapataje nguvu ya kusomaTafuta hiki kitabu ukisome, kisha fanyia kazi yaliyomo. View attachment 2987637
ExactlyTuko pamoja mkuu
Binafsi ni mvivu wa majukumu ya kazini na shughuli zingine
Kwa sababu mwisho wa siku lazima kazi zifanyike nimejiwekea utaratibu wa kutolaza kazi
Kauli ya nitafanya badae itoe kwenye ratiba yako,hata kazi ikiwa ndogo namna gani usisubiri kesho
Unavyoziacha ndogo ndogo zinaongezeka na kuwa nyingi
Kwanza elewa sababu za kuwa mvivu kwenye majukumu yako ya kila siku.Nawezaje nikaacha uvivu katika majukumu ya kazi na shughul nyingine?
UvivuUvivu au uvuvi?
Umri wako badoUvivu
Dadeq 🤣1. Amka mapema.. mwili unakuwa active
2. Make ‘to do list’ur friend.
Ila kama ni mvivu uliyekolea nazi hata hiyo to do list utakuwa unaiskip 😝
Asante sanaTuko pamoja mkuu
Binafsi ni mvivu wa majukumu ya kazini na shughuli zingine
Kwa sababu mwisho wa siku lazima kazi zifanyike nimejiwekea utaratibu wa kutolaza kazi
Kauli ya nitafanya badae itoe kwenye ratiba yako,hata kazi ikiwa ndogo namna gani usisubiri kesho
Unavyoziacha ndogo ndogo zinaongezeka na kuwa nyingi
21una miaka mingap kwani?
Wa mwishowe ni mtoto wa ngapi kwenu
Hapana sio hivyokama unalishwa huwezi kuacha uvivu itakua kwenu mambo safi
Unafaa kuwa mke kabisa. Wife material huwa wapogo namna hii.Tuko pamoja mkuu
Binafsi ni mvivu wa majukumu ya kazini na shughuli zingine
Kwa sababu mwisho wa siku lazima kazi zifanyike nimejiwekea utaratibu wa kutolaza kazi
Kauli ya nitafanya badae itoe kwenye ratiba yako,hata kazi ikiwa ndogo namna gani usisubiri kesho
Unavyoziacha ndogo ndogo zinaongezeka na kuwa nyingi
ma last born ndo wakogo hivi wavivu wanapenda kulia lia yaan kukaza kiume ndo wazembeWa mwisho
yaan mzee hivi hafu mvivu
That's for him to ponder.sasa kashasema mvivu atapataje nguvu ya kusoma
Nawezaje nikaacha uvivu katika majukumu ya kazi na shughul nyingine?
Mnaonaga sifa kusoma mawazo na vitabu vilivyoandikwa na wanaume wengine?Tafuta hiki kitabu ukisome, kisha fanyia kazi yaliyomo. View attachment 2987637
Kama ni mwanaume ukiendelea hivyo utaishia kuwa PapaiUnafaa kuwa mke kabisa. Wife material huwa wapogo namna hii.