Huey freeman
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 593
- 248
nasoma project planning mwaka wa kwanza. nina sababu mbili za kutaka kuahirisha mwaka. .moja i dont think i l make it in project planning with a good gpa mbili nimepata kitu cha kufanya . .the problem is sijui process na so soon tunafanya mitihani ya kumaliza semister. nataka kubadilisha kozi. .mwenye uelewa na haya mambo anisaidie.