J Julius01 Member Joined Feb 25, 2023 Posts 8 Reaction score 9 Nov 24, 2023 #1 View attachment 2823621 Rejea kichwa cha habari hapo juu. Hivi kwa mtu anayetaka kuanza hiyo kazi/ biashara utaratibu upoje? Unapataje deli? Na kama usipohitaji deli anapataje lile boksi lenye pieces 30? Mchanganuo wa gharama upoje wakati wa kuanza? Unatakiwa uwe na nini na nini? Na ice cream zinazobaki inakuwaje? Kama una ujuzi nayo au uliwahi kuambiwa kuhusu hii fursa naomba uniambie, Asante!
View attachment 2823621 Rejea kichwa cha habari hapo juu. Hivi kwa mtu anayetaka kuanza hiyo kazi/ biashara utaratibu upoje? Unapataje deli? Na kama usipohitaji deli anapataje lile boksi lenye pieces 30? Mchanganuo wa gharama upoje wakati wa kuanza? Unatakiwa uwe na nini na nini? Na ice cream zinazobaki inakuwaje? Kama una ujuzi nayo au uliwahi kuambiwa kuhusu hii fursa naomba uniambie, Asante!
Natafuta pesa JF-Expert Member Joined Mar 29, 2022 Posts 279 Reaction score 384 Nov 24, 2023 #2 Najua machache:- 1.uwe na wadhamini 2.Barua ya utambulisho 3.Malipo ni commission (Kwa kila ice cream moja) 4.Begi siyo mali yako ni ya kampuni 5. Wengine wataongezea
Najua machache:- 1.uwe na wadhamini 2.Barua ya utambulisho 3.Malipo ni commission (Kwa kila ice cream moja) 4.Begi siyo mali yako ni ya kampuni 5. Wengine wataongezea
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Nov 24, 2023 #3 Ngoja waje kukupa muongozo...
J Julius01 Member Joined Feb 25, 2023 Posts 8 Reaction score 9 Nov 24, 2023 Thread starter #4 Natafuta pesa said: Najua machache:- 1.uwe na wadhamini 2.Barua ya utambulisho 3.Malipo ni commission (Kwa kila ice cream moja) 4.Begi siyo mali yako ni ya kampuni 5. Wengine wataongezea Click to expand... Mtaji bei gani?
Natafuta pesa said: Najua machache:- 1.uwe na wadhamini 2.Barua ya utambulisho 3.Malipo ni commission (Kwa kila ice cream moja) 4.Begi siyo mali yako ni ya kampuni 5. Wengine wataongezea Click to expand... Mtaji bei gani?
southernboy JF-Expert Member Joined Sep 27, 2015 Posts 882 Reaction score 1,075 Nov 25, 2023 #5 Julius01 said: Mtaji bei gani? Click to expand... mtaji gani unakuwa umeajiriwa au unataka kulangua kiwandani
Julius01 said: Mtaji bei gani? Click to expand... mtaji gani unakuwa umeajiriwa au unataka kulangua kiwandani
Mr Confidential JF-Expert Member Joined Jul 1, 2018 Posts 1,532 Reaction score 2,415 Dec 3, 2023 #6 My first business in Dar. Mtaji 0 TZS
K kipachaibwe Member Joined Dec 11, 2020 Posts 36 Reaction score 71 Dec 4, 2023 #7 Nipo Tanga hapa Kile kifaa cha kubebea unapewa bure Ice cream unauziwa nusu bei