Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Wakuu kunasehemu natakiwa kutuma application latter,cv na vyeti vyangu kwa barua pepe lakini natakiwa nivitume ktk mfumo ambao huko niliko tuma inatakiwa waki click kufungua basi zifunguke zote kwa pamoja, yaani mfano juu page one appl latter aki scrow down page two cv akiscrow down page three certificates aki scrow tena down page four excel document,
Natumaini mmenielewa
Natumaini mmenielewa