Johnson nyangira
Member
- Aug 2, 2021
- 6
- 3
Wazazi wangu walitengana nikiwa na umri mdogo kisha mama yangu akaolewa tena.
Kwa sasa nimemaliza kidato cha nne nataka kwenda chuo ila nahiitaj kutumia jina la baba yangu mzazi kabla sijaingia chuoni msaada jamani nifanye nini?
Kwa sasa nimemaliza kidato cha nne nataka kwenda chuo ila nahiitaj kutumia jina la baba yangu mzazi kabla sijaingia chuoni msaada jamani nifanye nini?