Habari wana JF
Ninajua mtu anaweza kubadili mambo makubwa kabisa kama dini, uraia, mke, na timu ya kushabikia.
Kwasasa nimelichoka kabila langu, naona kama linakosa swagger. Nifanyaje ili nibadili kabila?
Kuoa na kuhamia ukweni au kuhama sehemu niliyopo ni hatua ambazo sitaki kuzichua
Ungetaja kabila langu kwenye hilo kundi hapa pangechimbikaNakukaribisha sana Mkuu katika Kabila langu lililobarikiwa na Mwenyezi Mungu la Zanaki kutoka Mkoa uliobarikiwa wa Mara ( Musoma ), ila nakuonya chonde chonde usije ukakosea na ukataka kuwa Mhaya ( Kagera ), Mnyiramba ( Singida ), Muha ( Kigoma ), Mnyaturu ( Singida ), Mkara ( Kisiwani Mara ), Mrangi ( Dodoma ) na Mnyamwezi ( Tabora ) kwani utakuwa ni Mshamba ( Mbwiga ) Mwandamizi kama Wao.
Mkuu Makabila yote hayo niliyoyataja ni ya Watani zangu Wakubwa na huwa napenda Kuwatania sana hapa JamiiForums na Wananijua na Wameshanizoea pia Mtani wao wa Kizanaki kutoka Kwetu Mkoani Mara ( Musoma )mhh huu sasa uchochezi
Lipi hilo Mkuu hebu litaje kwani hayo Makabila tajwa ni Watani zangu upande wa Kiumeni ila kwa upande wa Kikeni Mimi ni Mmakuwa kutoka Mkoani Mtwara ( Masasi ) ambako huko nako Watani zangu ambao nao ni Washamba ( Mambwiga ) ni Wangoni, Wandengereko, Wangindo, Wazaramo, Wakwere na Wagogo.Ungetaja kabila langu kwenye hilo kundi hapa pangechimbika
Kwa hivyo nikibadili uraia nawatukana akina nani? Acha mawazo mgandotusi hilo Kwa Baba yako!
Mkuu, hizo details sijaweka kwa makusudi siyo oversightKabila gani kwanza uliopo na unataka kwenda wapi
Iko wazi sana, hakuna swali hapoKwani ni nani aliyekupa kabila ulilonalo sasa.
Soma uzi vizuriOa au olewa na mmachame au mrombo utabadili Kabila vizuri
Soma uzi vizuriRahisi tu hamia eneo husika kwenye kabila unalolitaka, kajififunze hiyo rugha kwa bidii utajua ndani mda mfupi tu fundisha na wanao na wote watakaozaliwa watakuta unaongea hiyo rugha na itakuwa yako rasmi uzuri hakuna makaratasi ni wewe kujua ruga tu inatosha
Kwanini mkuu?Huwezi...
Iko wazi sana, hakuna swali hapo
karibu huku sisi wakina mshana jr ,january makamba wachapa kazi karibu lushoto hali ya hela ile ya chuga cha mtoto huku raha tupu watoto weupe kama wote ila kuna maalbino kama uchafuMkuu, hizo details sijaweka kwa makusudi siyo oversight
Kufa uzaliwe upyaHabari wana JF
Ninajua mtu anaweza kubadili mambo makubwa kabisa kama dini, uraia, mke, na timu ya kushabikia.
Kwasasa nimelichoka kabila langu, naona kama linakosa swagger. Nifanyaje ili nibadili kabila?
Kuoa na kuhamia ukweni au kuhama sehemu niliyopo ni hatua ambazo sitaki kuzichua
Umesema hutaki kuhama na bado unataka kubadili kabila? Mbona pagumu sana hapo?Habari wana JF
Ninajua mtu anaweza kubadili mambo makubwa kabisa kama dini, uraia, mke, na timu ya kushabikia.
Kwasasa nimelichoka kabila langu, naona kama linakosa swagger. Nifanyaje ili nibadili kabila?
Kuoa na kuhamia ukweni au kuhama sehemu niliyopo ni hatua ambazo sitaki kuzichua
Lazima kuwe na namna ya kisheria ya kubadili kabilaUmesema hutaki kuhama na bado unataka kubadili kabila? Mbona pagumu sana hapo?
Watu waliowahi kubadili makabila yao (ninaowafahamu) ni wale waliohama na kwenda kuishi palipo na kabila lake "jipya".
Ukihamia mkoa fulani na ukajiungamanisha na familia mojawapo ya kabila unalotaka liwe lako, baada ya muda na wewe utaanza kutambulika kama mmoja wa hilo kabila. Wajukuu zako huko mbeleni, endapo hawataambiwa, wanaweza wasijue kuwa kabila lao la awali halikuwa hilo wanalotambulika nalo wakati huo.