TUMSUMINGULIVI
Member
- Sep 22, 2024
- 14
- 106
Natarajia kuja kuishi Dodoma mjini Mwakani na Kugombea ubunge 2025..
Wana JF nipeni mbinu nawezaje pata ubunge pale Dodoma kupitia CCM
Wana JF nipeni mbinu nawezaje pata ubunge pale Dodoma kupitia CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela Kuoa mtoto wa Samia😋😋😋 Kuwa MTanzania Raha SanaLabda kama una undugu wa Damu na SAMIA au una Fedha kama Rostam.
Nina mbinu ya kumzeesha😈😈😈aachie jimboMuulize Antony Mavunde na hv nikijana kabisa tena waziri wa madini ilo jimbo mpaka 2040 ndo mtegemee kuona sura mpya.
Yule kaisha otesha mizizi Dodoma utawaambia kitu kwa huyo kijana. Nenda kondoa, Bahi,mpwapwa,Chamwino au Kongwa unaweza kufikiliwa sio Hapo mjini.Nina mbinu ya kumzeesha😈😈😈aachie jimbo
Patamuuuuu Hapaaa mie nilizani supu ya ng'ombe kumbe churaaaUwe mgogo
Wanadodoma Nasikia wanapenda Sana kutengeneza Historia "Nitafanikiwa kuwa Mgeni wa Kwanza kuongoza Dodoma Mjini"Siasa kazi sana
Unataka kumpiga kipapai?Nina mbinu ya kumzeesha😈😈😈aachie jimbo
Sio Kipapai - Ni kiongozi anavyotaka kufanya jambo lazima yeye hawe hivyo... Ana hela za mzee baba inabidi awe mzeee.. Tuchukue Jimbo 2025Unataka kumpiga kipapai?